Waziri wa Sanaa na BASATA, kuna baadhi ya nyimbo zinapaswa kutazamwa na kuzuiwa kuepusha uharibifu wa vizazi vyetu

Waziri wa Sanaa na BASATA, kuna baadhi ya nyimbo zinapaswa kutazamwa na kuzuiwa kuepusha uharibifu wa vizazi vyetu

mwanamichakato

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
1,188
Reaction score
1,090
Utamaduni wetu ni tunu ya taifa

Wasanii ktk nyanja mbalimbali wana nafasi kubwa ya kujenga, kuimarisha au kubomoa maadiri, miiko na mila pamoja na desturi.

Pamoja na janga la mimba za utotoni. Dunia na nchi yetu bado tunapigana vita pana ya kutokomeza magonjwa ya kuambukiza yanayochochewa na zinaa, uzinzi, ulawiti na ufiraji. Hususani Ukimwi n.k

Kuna nyimbo kadhaa na tungo nadhani zapaswa kutazamwa na kuzuiwa kuepusha uharibifu wa vizazi vyetu.

Leo unakuta mtoto wa miaka 4,5,6,7 anaimba Nasikia Nyege. Basi Nitongoze. Kama wazazi tunajisiakiaje?
 
Tulipofikia hamna namna .....

Hatupaswi kuchanganyikiwa fahamu kwa kutomaswa hisia kinyume na tamaduni zetu..

Misingi,Nguzo,Desturi vina chachu ktk kujenga jamii imara na yenye utashi..

Tusipodhibiti soon tutasikia pambio za ushoga,usagaji na ulawiti
 
Kwa hapa tulipofika, there's no going back.

Kitoto Cha miaka mitano kimekazana kabisa "nasikia nyegeee"
 
Hii miziki watoto washalanduka nayo,watoto wanavyokatika huku wakicheza ni balaa.

Sasa watoto hao wakionwa na wale mapaedhofile lazima wawarukieee.

Ova
 
Back
Top Bottom