bahatibahati
Member
- Jul 4, 2023
- 44
- 84
Mh. Ahadi zako haziwezi kusahaulika kamwe za kupandisha watumishi MADARAJA yao na kwa mserereko kwani ulitoa maelekezo mchana kweupe kwamba kazi inafanyika haraka sana asiachwe mtumishi yeyote kuanzia kwenye vitongoji.
Cha kusikitisha hadi Sasa ahadi hiyo haijatekelezwa na hii ni may 2024 aambapo mishahara imetoka na hakuna mabadiliko yeyote kwa mujibu wa wahusika wenye changamoto HIZO.
pia SOMA
- Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024
- Madaraja na mserereko wa madaraja kwa watumishi ni porojo tu. Serikali hakuna hela?
- Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024
Cha kusikitisha hadi Sasa ahadi hiyo haijatekelezwa na hii ni may 2024 aambapo mishahara imetoka na hakuna mabadiliko yeyote kwa mujibu wa wahusika wenye changamoto HIZO.
pia SOMA
- Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024
- Madaraja na mserereko wa madaraja kwa watumishi ni porojo tu. Serikali hakuna hela?
- Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024