Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madarasa kumbe ni kesi?Kitendo cha kubambika kesi si jambo jema, mama ashauriwe
Kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake. Usilazimishe na watoto wao wakasomee hizo shule kwani hakuna aliyefanya hivyo na hakuna atayefanya hivyo na hata kama ungekuwa ni wewe usingefanya hivyo. Ww mwenyewe ukiwa na hela unajichagulia chakula kizuri cha kula na hakuna anayekupangia.Natamani hizi shule zinazojengwa kwa mbwembwe nikute mtoto wa Ummy ama mjuu wake anasoma hapo pamoja na watawala wengine wapeleke watoto wao kwenye shule za Umma.