Hennes kolon
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 673
- 1,294
Cement mfuko tunanunua 19500/= Hadi 20,000/=. laki moja unapata mifuko 5 tu. Hali sio nzuri kwa kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigamboni 16500 tsh uko mkoa gani?Cement mfuko tunanunua 19500/= Hadi 20,000/=. laki moja unapata mifuko 5 tu. Hali sio nzuri kwa kweli.
Bado serekali.wanataka kodi kil sehem ,kibwengo mkuu hajachukua chakeCement mfuko tunanunua 19500/= Hadi 20,000/=. laki moja unapata mifuko 5 tu. Hali sio nzuri kwa kweli.
Mama samia ni.MtulivuCement mfuko tunanunua 19500/= Hadi 20,000/=. laki moja unapata mifuko 5 tu. Hali sio nzuri kwa kweli.
Unasema elfu 19500,huku tuna nunua 21,000 mpaka 23,000.Cement mfuko tunanunua 19500/= Hadi 20,000/=. laki moja unapata mifuko 5 tu. Hali sio nzuri kwa kweli.
Umetenga budget kiasi gani kwenye ujenzi wako?Cement mfuko tunanunua 19500/= Hadi 20,000/=. laki moja unapata mifuko 5 tu. Hali sio nzuri kwa kweli.
Serikali iliongeza kodi ya Tsh 1,000/= kwa kila mfuko wa Cement kuanzia July 1Cement mfuko tunanunua 19500/= Hadi 20,000/=. laki moja unapata mifuko 5 tu. Hali sio nzuri kwa kweli.
Anafikiri serikali ndio itamsaidia, bila yeye kujua kuwa ndio iliyosababisha bei ya Cement kuwa juuSerikali iliongeza kodi ya Tsh 1,000/= kwa kila mfuko wa Cement kuanzia July 1
Serikali iliongeza Tozo ya Tsh 100/= kwa kila litre ya mafuta ya petrol na Diesel. Hii ilipelekea Transporters wa Raw materials ya uzalishaji wa cement kupandisha bei ya usafirishaji.
Bei ya mafuta ya Diesel na petrol ilipanda almost kutoka Tsh 2,600/=-3,100/=
Dola haipatikani hivyo kuathiri uagizwaji wa vipuri vya mitambo ya kuzalishia Cement kutoka Nje ya nchi
Je, unategemea bei ya Cement ibaki ile ile?
Waziri wetu hafahamu haya?
Hii inamhusu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba maana ndiye aliyeongeza kodi katika bidhaa hizi .Cement mfuko tunanunua 19500/= Hadi 20,000/=. laki moja unapata mifuko 5 tu. Hali sio nzuri kwa kweli.
Huku nilipo 25000 mfukoCement mfuko tunanunua 19500/= Hadi 20,000/=. laki moja unapata mifuko 5 tu. Hali sio nzuri kwa kweli.