Waziri wa Ujenzi epuka ufunguzi wa miradi kabla haijakamilika, mnatengeneza aibu

Waziri wa Ujenzi epuka ufunguzi wa miradi kabla haijakamilika, mnatengeneza aibu

LUS0MYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
866
Reaction score
1,109
Imezuka tabia ambapo miradi ambayo haijakamilika na kukabidhiwa kutoka kwa mkandarasi inazinduliwa kuanza matumizi yake. Kinachotokea sasa miradi inayotumika lakini haijakamilika inaongezeka na hakuna dalili kama inaendelea kujengwa. Mfano barabara kubwa ya Kimara-Kibaha na hii ya Morocco-Mwenge.
 
Abadilike Haraka Vinginevyo Upepo Wa Kisurisuri Utampitia
 
Magufuli ndio mhasisi wa haya mambo.

Nilifika stand ya Magufuli yani hata pavement bado hazijawekwa jamaa limelazimisha ifunguliwe wakati hapakuwa na uharaka huo wakati ubungo stand ipo.
 
Barabara ya Mwenge Morocco nimezaliwa nimekua hadi leo inajengwa tuuuuu.!!
 
LengImezuka tabia ambapo miradi ambayo haijakamilika na kukabidhiwa kutoka kwa mkandarasi inazinduliwa kuanza matumizi yake. Kinachotokea sasa miradi inayotumika lakini haijakamilika inaongezeka na hakuna dalili kama inaendelea kujengwa. Mfano barabara kubwa ya Kimara - Kibaha na hii ya Morocco-Mwenge.
Ni kweli ni jambo hata uhalisia haueleweki. Unazi Dua mradi unakaa miezi zaidi ya sita ujenzi hauanzii, lLengo ni nini? Ni kufurahisha watu au kuonesha kwamba ninyi ni waongo. Kunamtu wakati wanazindua aliuliza ujenzi utaanza link,hakunaaliyejibu. Heri wataje tarehe rasmi ya kuanza. Usizindue mradi wakati huna uhakika wa pesa.
 
Back
Top Bottom