Waziri wa Ulinzi wa Israel atoa onyo kali kwa magaidi wa Hamas huko Gaza

Waziri wa Ulinzi wa Israel atoa onyo kali kwa magaidi wa Hamas huko Gaza

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Waziri wa Ulinzi Israel Katz:

"Licha ya shirika la kigaidi la Hamas kukiuka mara kwa mara na kukataa kwake mipango uliotolewa na mjumbe maalum wa Rais Trump katika Mashariki ya Kati Witkoff, tulijibu ombi la mpatanishi la kuruhusu siku chache zaidi za mazungumzo.

Na wakati huo huo tumesimamisha misaada ya kibinadamu kwa Gaza.

Hamas wasifanye makosa, huu ni mwanzo tu. Ikiwa Hamas haitawaachilia mateka hivi karibuni, milango ya Gaza itafungwa na milango ya kuzimu itafunguliwa.

Tutarudi kupigana na Hamas itakabiliana na IDF kwa nguvu na mbinu ambayo haikujua, hadi Hamas imeshindwa kabisa. Hatutawaruhusu Hamas kutawala Gaza.”

IMG_1795.jpeg
 
Ni kweli kabisa, magaidi wasiruhusiwe kamwe kuitawala tena ukanda wa Gaza, magaidi ni watu wa kuuwawa tu.
 
IDF ni jeshi la walala hoi, wanazidiwa mbinu na kikundi hata kifaru hawana, hamas hata javelin sijui hata walishamiliki... lakini wanapelekeshwa hadi wanatii matakwa...
 
IDF ni jeshi la walala hoi, wanazidiwa mbinu na kikundi hata kifaru hawana, hamas hata javelin sijui hata walishamiliki... lakini wanapelekeshwa hadi wanatii matakwa...
Ni kweli kabisa IDF ni jeshi la walała hoi ukiiangalia Gaza ilivyo sasa imechakazwa kupita maelezo na chakula wanapewa bure hili kweli ni jeshi la walała hoi adui unayepigana naye unampa mpaka chakula hadi dawa!!! Sijawahi ona jeshi duniani lina Löwe za kuwafadhili adui zake kama wanavyofanya IDF kwa magaidi wa Hamas. Kwa ujinga wako wewe unaona Javelin ndiyo silaha bora kabisa? Hujui kuwa Magaidi hao wana silaha kutoka Iran?
 
Ni kweli kabisa IDF ni jeshi la walała hoi ukiiangalia Gaza ilivyo sasa imechakazwa kupita maelezo na chakula wanapewa bure hili kweli ni jeshi la walała hoi adui unayepigana naye unampa mpaka chakula hadi dawa!!! Sijawahi ona jeshi duniani lina Löwe za kuwafadhili adui zake kama wanavyofanya IDF kwa magaidi wa Hamas. Kwa ujinga wako wewe unaona Javelin ndiyo silaha bora kabisa? Hujui kuwa Magaidi hao wana silaha kutoka Iran?
Hata Rwanda ingeweza kuichakaza Gaza, unapambana na kikundi cha wana migambo hawana hata air defense unajisifu unajua kuchakaza...
Silaha gani kutoka Iran? hawana silaha zozote za maana, mbona hatujaona hata s300?
 
Israel itimize makubaliono ya kusitisha vita!
Vitisho havisaidii.
Silni wa kuiamrisha Israel itimize makubaliano ya kusitisha vita wakati Israel ndiyo iliyovamiwa. Sasa hivi Israel waiache iwaonyeshe kazi magaidi ili iwę fundisho kwa vizazi vingine maana wakiwaacha watakuja kurudia kuvamia nchi nyingine waache Israel wakomeshe ujinga wa magaidi.
 
Back
Top Bottom