Waziri wa Ulinzi wa Marekani Akanusha Ushahidi wa Handaki la Hezbollah Chini ya Hospitali Beirut

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Akanusha Ushahidi wa Handaki la Hezbollah Chini ya Hospitali Beirut

dem boy

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
6,580
Reaction score
15,739
464419618_2048964932196537_5540168259879280688_n.jpg
he #US defence secretary said he had not seen evidence of a cash- and gold-filled Hezbollah bunker underneath a hospital in Beirut, as claimed by the Israeli military this week.⁠​
.⁠
“We have not seen evidence of that at this moment. But, you know, we will continue to collaborate with our Israeli counterparts to gain better fidelity on exactly what they are looking at,” Austin told reporters in Rome.⁠

SOURCE:Aljaazeera

Hata BBC juzi waliripoti kwamba huu ulikuwa uongo wa hawa jamaa hakuna chochote kilichopatikana kinachofanana na kile Israeli walichoshutumu juu ya kilichopo chini ya hiyo hospitali Beiruti,

kinachoonekana hawa jamaa wa mchongo katika uso wa dunia ni kuangusha hizi hospitali ili raia wakose pa kutibiwa kwasababu ndo wanao walenga haswa,pia wanalenga raia kwasababu hezbollah hawaonekani wala hawajulikani walipotu japo wanajibu mapigo kwa kiwango wasichokitarajia ndo maana hasira zao wanamalizia kwenye majengo na raia maskini

MUNGU BARIKI HEZBOLLAH NA HAMAS
 
View attachment 3135140he #US defence secretary said he had not seen evidence of a cash- and gold-filled Hezbollah bunker underneath a hospital in Beirut, as claimed by the Israeli military this week.⁠​
.⁠
“We have not seen evidence of that at this moment. But, you know, we will continue to collaborate with our Israeli counterparts to gain better fidelity on exactly what they are looking at,” Austin told reporters in Rome.⁠

SOURCE:Aljaazeera

Hata BBC juzi waliripoti kwamba huu ulikuwa uongo wa hawa jamaa hakuna chochote kilichopatikana kinachofanana na kile Israeli walichoshutumu juu ya kilichopo chini ya hiyo hospitali Beiruti,

kinachoonekana hawa jamaa wa mchongo katika uso wa dunia ni kuangusha hizi hospitali ili raia wakose pa kutibiwa kwasababu ndo wanao walenga haswa,pia wanalenga raia kwasababu hezbollah hawaonekani wala hawajulikani walipotu japo wanajibu mapigo kwa kiwango wasichokitarajia ndo maana hasira zao wanamalizia kwenye majengo na raia maskini

MUNGU BARIKI HEZBOLLAH NA HAMAS
Umeandika nini sasa hii? Na kwa maslahi ya nani? Una nufaika na nini kwa hili? Anakujua nani huko? Unapata faida gani na hili wewe mtu mweusi wa hukui? Familia yako inapata nini kwa hili? Ukoo wako unapata nini kwa hili? Majirani zako wanafaidikaje na hili? Kazi zako je? Biashara zako je? Wazazi wako je? Msosi mezani? Na inatusaidia nini sisi watanzania wenzako ambao tuna huaba wa hospitali na wahudumu? Daaa😧😧aliye turoga tunaomba huko ulipo utusamehe kwa kweli 🙏🙏tupo bize kweli na yawenzetu wakati wao wapo na ya kwao
 
Ifike point Israel afungwe speed gavana, maana anajipigia tu pale anapohisi. Umoja wa mataifa mbona upo kimya? Na ile hati ya kumfikisha Netanyahu The Hague iliishia wapi?! Au hizi sheria za UN na Hague ziliwekwa kwa mkakati wa kuzikomoa nchi fulani fulani hususani hizi nchi zetu masikini!
 
Ifike point Israel afungwe speed gavana, maana anajipigia tu pale anapohisi. Umoja wa mataifa mbona upo kimya? Na ile hati ya kumfikisha Netanyahu The Hague iliishia wapi?! Au hizi sheria za UN na Hague ziliwekwa kwa mkakati wa kuzikomoa nchi fulani fulani hususani hizi nchi zetu masikini!
Ndiyo kinachofuata,maneno ya uingereza,ufaransa na wayahudi wa USA ni kwamba November hii pini zinaanza
 
Back
Top Bottom