Recently ndio nini?Ni wapi sukari ni bei hiyo Mimi nimenunua recently shilingi 3000
Wiki haijapita...sasa ndani ya wiki sukari ipae Kwa buku jeroRecently ndio nini?
YUle mrangi amewekwa kwasababu ya dini yake hakustahili kuwa waziri.Sukari sasa kilo moja ni Tsh 4500 hii nchi imekuwa kama utawala wa kambale mama ana ndevu baba ana ndevu hakuna hata mbunge waziri au mkurugenzi anaongelea hii hali ccm ipo kimya makonda anapanda farasi na baiskeli tuu hivi ni kweli hawajui hii hali??
Mimi leo nimenunua sukari 4300 kilo moja nikafanya uchunguzi duka lingine 4500 tuwe wakweli viwanda vinazalisha bei iko juu waziri bubu ccm bubu wabunge bubu shida ya kupewa bure ubunge ndio wananchi tunaumiaNi wapi sukari ni bei hiyo Mimi nimenunua recently shilingi 3000
Basi mambo ni motooo, but tunaweza ishi bila sukari.Mimi leo nimenunua sukari 4300 kilo moja nikafanya uchunguzi duka lingine 4500 tuwe wakweli viwanda vinazalisha bei iko juu waziri bubu ccm bubu wabunge bubu shida ya kupewa bure ubunge ndio wananchi tunaumia
Kabisa kwanza sio nzuri kiafyaHatimaye naenda kuachana na matumizi ya sukar sasa..
Jumapilli iliyopita nilimtuma mtoto kununua sukari kilo moja ilikuwa 4200 (Mwanza).Mimi leo nimenunua sukari 4300 kilo moja nikafanya uchunguzi duka lingine 4500 tuwe wakweli viwanda vinazalisha bei iko juu waziri bubu ccm bubu wabunge bubu shida ya kupewa bure ubunge ndio wananchi tunaumia
Inatakiwa mpaka Ramadhani sukari iwe 6000 kwa kilo!YUle mrangi amewekwa kwasababu ya dini yake hakustahili kuwa waziri.
Huyo waziri anajificha ficha wacha tuanze kumsagia kunguni ame-relax sana!Sukari sasa kilo moja ni Tsh 4500 hii nchi imekuwa kama utawala wa kambale mama ana ndevu baba ana ndevu hakuna hata mbunge waziri au mkurugenzi anaongelea hii hali ccm ipo kimya makonda anapanda farasi na baiskeli tuu hivi ni kweli hawajui hii hali??
Ana mgao wake hapoSukari sasa kilo moja ni Tsh 4500 hii nchi imekuwa kama utawala wa kambale mama ana ndevu baba ana ndevu hakuna hata mbunge waziri au mkurugenzi anaongelea hii hali ccm ipo kimya makonda anapanda farasi na baiskeli tuu hivi ni kweli hawajui hii hali??
Kanunue kesho afu ulete mrejeshoNi wapi sukari ni bei hiyo Mimi nimenunua recently shilingi 3000
Bei ya 4500 mpaka tumeizoeaNi wapi sukari ni bei hiyo Mimi nimenunua recently shilingi 3000
Aise nomaBei ya 4500 mpaka tumeizoea