Pyepyepye JF-Expert Member Joined Jan 6, 2017 Posts 1,940 Reaction score 3,834 Sep 23, 2018 #1 Natoa wazo binafsi kama mtanzania mzalendo, "Futeni uchaguzi wa jimbo la Liwale na zile kata 37. Pesa ya kuandaa huo uchaguzi wa marudio pelekeni rambirambi kule Ukerewe. Halafu hilo jimbo na hizo kata wapatieni wagombea wa chama tawala.
Natoa wazo binafsi kama mtanzania mzalendo, "Futeni uchaguzi wa jimbo la Liwale na zile kata 37. Pesa ya kuandaa huo uchaguzi wa marudio pelekeni rambirambi kule Ukerewe. Halafu hilo jimbo na hizo kata wapatieni wagombea wa chama tawala.
call me T JF-Expert Member Joined Apr 27, 2015 Posts 291 Reaction score 391 Sep 23, 2018 #2 Umenena sahihi kabisa maana hata uchaguzi ukifanyika bado ni hao hao watashnda kwa njia wanazo zijua wao ni bora pesa ikapelekwa kwa ndugu zetu wafiwa
Umenena sahihi kabisa maana hata uchaguzi ukifanyika bado ni hao hao watashnda kwa njia wanazo zijua wao ni bora pesa ikapelekwa kwa ndugu zetu wafiwa