Angyelile99
Member
- Oct 9, 2023
- 89
- 164
Binafsi naona serikali itumie njia ya recruiting vijana waliopata elimu aidha kwa ngazi ya diploma ama degree wanaopatikana katika familia zinazofadhiliwa na mfuko wa TASAF ili kuondoa dhana ya utegemezi kwa vijana hawa na kupunguza umasikini kwa kupata ajira zitakazowawezesha kujikimu wao na familia zao.