OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Wakuu mpo?
Kwa wale mlio na familia namaanisha mke na watoto nadhani mtanielewa kwa haraka,
Mtu aliyeoa mwenye majukumu, mwenye afya njema ni nadra sana kumkuta kalala ndani bila kujishughulisha na kazi yeyote, wengi huamka asubuhi huenda kazini na kurudi home mida mibovu, sababu kubwa ni majukumu (kulea familia, kulipa kodi, bili na gharama za matibabu),
Hii ni tofauti kabisa kwa wasio na familia wengi hukaa bila kujishughulisha na chochote,
Taifa linaundwa na watu, familia moja + familia nyingine + familia + = Taifa
Sasa ili kila raia mwenye afya njema awajibike bila kusukumwa na yeyote ashiriki katika shughuli za uzalishaji inabidi awe na majukumu, na majukumu menyewe ni kuwa na familia.
Uzalishaji wa mali na huduma utaongezeka (domestic production)
Matumizi ya ndani yataongezeka (domestic expenditure) mzunguko pia wa pesa utakuwepo
, Uchumi utakuwa kwa kasi.
Je kila Mtanzania mtu mzima akihamasishwa aoe tutaondoa kundi la watu wasiojishughulisha na kuongeza ukuaji wa uchumi?
Kwa wale mlio na familia namaanisha mke na watoto nadhani mtanielewa kwa haraka,
Mtu aliyeoa mwenye majukumu, mwenye afya njema ni nadra sana kumkuta kalala ndani bila kujishughulisha na kazi yeyote, wengi huamka asubuhi huenda kazini na kurudi home mida mibovu, sababu kubwa ni majukumu (kulea familia, kulipa kodi, bili na gharama za matibabu),
Hii ni tofauti kabisa kwa wasio na familia wengi hukaa bila kujishughulisha na chochote,
Taifa linaundwa na watu, familia moja + familia nyingine + familia + = Taifa
Sasa ili kila raia mwenye afya njema awajibike bila kusukumwa na yeyote ashiriki katika shughuli za uzalishaji inabidi awe na majukumu, na majukumu menyewe ni kuwa na familia.
Uzalishaji wa mali na huduma utaongezeka (domestic production)
Matumizi ya ndani yataongezeka (domestic expenditure) mzunguko pia wa pesa utakuwepo
, Uchumi utakuwa kwa kasi.
Je kila Mtanzania mtu mzima akihamasishwa aoe tutaondoa kundi la watu wasiojishughulisha na kuongeza ukuaji wa uchumi?