Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Halafu watu washazoea tayari...Unaambiwa uwanja wa mkapa ulifanyiwa ukarabati mkubwa mpaka wi-fi ya bure ikawekwa saivi sijui imepotelea wapi
Uwanja wa mpira wa Dodoma sijui nao umefikia wapi? Nilimuonaga majaliwa ITV anabeba zege mwaka 2019 kama sikosei
Kama vile walipozindua mwanzoni hawakupiga pichaMara nyengine tunazinduwa vilivyo zinduliwa zamani. Photo op.
Ila wakitia viwalo vyao utadhani ni watu kwelikweli...Bongo hakuna watu mkuu. Bali Kuna mifano ya watu. Watoto wanafundishwa usafi tangu wakiwa chekechea Hadi vyuo vikuu (takribani miaka 20). Cha kushangaza wakiwa watu wazima bado hawajui usafi.Sasa utasema kuwa hawa ni watu kweli? Shame on us!
ukitaka jambo lako life vibaya peleka mwenge ukazindue mkuu nakupa mwaka mmoja tu kama ni kiwanda kinakufa Kama ni sehemu ya huduma zinakata chap yaani ukijichanganya na mwenge unamulika mpka watu wanakimbiaHaiwezekani hata mwezi haujapita watu washaanza kulalamikia SGR, yaani uhamasishaji wote wa kwanini hii ni reli ya kisasa. Kumbe bado ina watu wa kizamani!! Wanafikra za kizamani.
Imenikumbisha Wabongo tunavyopenda kuzindua vitu. Angalia vitu vilivyozinduliwa kwa mbwembwe za mbio za mwenge...angalia uwanja wa JNIA ulivyozinduliwa lakini si muda watu wakalalamikia maji sijui vyoo.
Kama huamini angalia mabasi ya mwendo kasi. Angalia maofisi na mahospitali, yaani tumezoea vitu vichafu kiasi kwamba vitu vizuri tunaona vya "kizungu"! Labda tuache kuzindua kwa mbwembwe!
Shida kwelikweli!
Mojawapo tunavyovizindua vizuri ni barabara na visimi vya maji...i