Wazo huru: Hii ndio sababu ya CHADEMA kuchangisha michango ya mfuko wa Kampeni (nyuma ya panzia)

Wazo huru: Hii ndio sababu ya CHADEMA kuchangisha michango ya mfuko wa Kampeni (nyuma ya panzia)

Dam55

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,641
Reaction score
11,958
Kwanza naomba nitangulize kuomba radhi wale wote ambao nitawakwaza kwa wazo langu hili, Ila naomba tu ileleweke kuwa nimetumia tu haki yangu ya kikatiba kutoa maoni.

Kwa kifupi sana ni kwamba kilichopo nyuma ya hii changia changia inayo endeshwa na CHADEMA kutunisha mfuko wa kampeni ina kitu kikubwa nyuma yake na si Kama hivyo ambavyo wengi wanaymvyoichukulia.

CHADEMA wanafanya hivyo makusudi kwa lengo la kuzima hisia mbaya zinazoanza kujengeka na kuaminika miongoni mwa watanzania ambao ndio wapiga kura kwamba CHADEMA na mgombea wao wanafadhiliwa na kupewa mahela mengi na mataifa makubwa ya nje (mabepari) kwa lengo la kupambana na serikalini ya Magufuli ambayo si rafiki kwa watu hao.

Sasa ili kuzima kabisa hisia hizo CHADEMA wanafanya uchangishaji huu ili kuaminisha watu kuwa hawana pesa hivyo kauli ya kwamba wanalipwa itakosa mashiko.

Haki ni mbinu nzuri sana hii na hadi sasa nadhani imefanikiwa kwa asilimia kubwa na wengi tayari wamenasa mtegoni.

Haiingii akilini kabisa eti mhe Tundu Lissu mtu makini kabisa akubali kurudi Tanzania kuja ku risk maisha yake huku akiwa hana pesa za kampeni?!! Hapana kabisa hili haliwezekani asingerudi huku kwasababu naamini hakuna asicho kijua kuhusu chama chake jinsi financial power yake ilivyo, hawezi kuja kugombea Urais kwa kutegemea michango ya walalahoi hata mara moja.

Lengo kuu la changia changia ni kuzima tuhuma za kulipwa na mabepari ili kuivuruga Tanzania na ikiwezekana kushika dola (puppet).

Ni wazo langu tu wandugu nawe waweza toa lako.
 
Chama cha matapeli wakubwa
Mkuu you got it right.Chama hiki kilimwambia CAG prof Assad kwamba anajifanya muhimili baada ya kusema 1.4T haionekani zilipo na serikali imeshindwa kutoa maelezo.Yaani sisi ccm akili zetu tunazijua wenyewe ndo maana tubashangilia kununuliwa ndege 5 zaidi huku sisi tukiwa tumwletwa mkutanoni kwa malori Kama ng'ombe kutokana na kukosa nauli ya daladala
 
Mwl alichangiwa kwenda UNO

wakati wa korona taifa lilijichangia

Polepole mwenyewe anachangisha malaki na sio hizo 100,200, au mia 5

kampeni zinahitaji pesa,ikiwa ni pamoja na michango ya hiari
 
Ok sawa.... Naomba Nikuulize...
1. Michango ya watz kwa ajiri ya kumtibu Lissu ilikua na lengo gani nyuma ya pazia?
2. Michango ya watz kuwatoa wabunge na viongozi wa Chadema ilikua na lengo gani nyuma ya pazia

Watz wanataka mabadiliko. Lengo la chadema ni kupata pesa na kuonesha nguvu ya umma ilivo na nguvu....
Hata kina mwl Nyerere walichangiwa ili kudai Uhuru wa bendera
 
Kwanza naomba nitangulize kuomba radhi wale wote ambao nitawakwaza kwa wazo langu hili, Ila naomba tu ileleweke kuwa nimetumia tu haki yangu ya kikatiba kutoa maoni.

Kwa kifupi sana ni kwamba kilichopo nyuma ya hii changia changia inayo endeshwa na CHADEMA kutunisha mfuko wa kampeni ina kitu kikubwa nyuma yake na si Kama hivyo ambavyo wengi wanaymvyoichukulia.

CHADEMA wanafanya hivyo makusudi kwa lengo la kuzima hisia mbaya zinazoanza kujengeka na kuaminika miongoni mwa watanzania ambao ndio wapiga kura kwamba CHADEMA na mgombea wao wanafadhiliwa na kupewa mahela mengi na mataifa makubwa ya nje (mabepari) kwa lengo la kupambana na serikalini ya Magufuli ambayo si rafiki kwa watu hao.

Sasa ili kuzima kabisa hisia hizo CHADEMA wanafanya uchangishaji huu ili kuaminisha watu kuwa hawana pesa hivyo kauli ya kwamba wanalipwa itakosa mashiko.
Haki ni mbinu nzuri sana hii na hadi sasa nadhani imefanikiwa kwa asilimia kubwa na wengi tayari wamenasa mtegoni.

Haiingii akilini kabisa eti mhe Tundu Lissu mtu makini kabisa akubali kurudi Tanzania kuja ku risk maisha yake huku akiwa hana pesa za kampeni?!! Hapana kabisa hili haliwezekani asingerudi huku kwasababu naamini hakuna asicho kijua kuhusu chama chake jinsi financial power yake ilivyo, hawezi kuja kugombea Urais kwa kutegemea michango ya walalahoi hata mara moja.

Lengo kuu la changia changia ni kuzima tuhuma za kulipwa na mabepari ili kuivuruga Tanzania na ikiwezekana kushika dola (puppet).

Ni wazo langu tu wandugu nawe waweza toa lako.

Huwa nikiona huu upuuzi wa kusema eti mtu anachukua hela ili awasaidie wazungu, huwa naona ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Hadi sasa deni letu la taifa ni karibia 60t na zaidi, 2/3 ya deni hilo ni la hao wazungu, iweje hao wazungu wasiichukue Tanzania mpaka wangoje Lisu awe mgombea? JK alikuwa anashinda huko kwa wazungu enzi za utawala wake, na Tanzania haijachukuliwa, ila hao wazungu wanamngoja Tundu Lisu ndio waichukue Tanzania! Nchi hii imejaa miradi ya DFP, yote hiyo ni ya wazungu, hao wazungu wasiichukue Tanzania, ila wangojee Lisu awe raisi wa Tanzania ndio waichukue!?

Upuuzi huu ungekuwa unaongelewa na watu wenye elimu ndogo ya darasani nisingeshangaa, ila hoja hii ni ya wasomi wa darasani wa ccm! Wakati nakuwa niliwahi kusikia eti watu walikuwa wakiona wazungu wanakimbia maana ni wanyonya damu, upuuzi huo huo ndio wasomi wetu watu wenye nywele kila tundu la mwili wanawaambia wananchi karne hii. Hebu nikuulize wewe mleta uzi maana ni mmoja wa waendesha propaganda za kipuuzi hapa jukwaani, migodi yetu mpaka sasa wako wazungu, je hao wameletwa na huyo Lisu? Ni kipi ambacho wazungu watakitaka ndani ya nchi hii wakikose kwa viongozi hawa wanaoficha mikataba, mpaka wapoteze hela zao kumpa Lisu ndio wapate?
 
Kwanza naomba nitangulize kuomba radhi wale wote ambao nitawakwaza kwa wazo langu hili, Ila naomba tu ileleweke kuwa nimetumia tu haki yangu ya kikatiba kutoa maoni.

Kwa kifupi sana ni kwamba kilichopo nyuma ya hii changia changia inayo endeshwa na CHADEMA kutunisha mfuko wa kampeni ina kitu kikubwa nyuma yake na si Kama hivyo ambavyo wengi wanaymvyoichukulia.

CHADEMA wanafanya hivyo makusudi kwa lengo la kuzima hisia mbaya zinazoanza kujengeka na kuaminika miongoni mwa watanzania ambao ndio wapiga kura kwamba CHADEMA na mgombea wao wanafadhiliwa na kupewa mahela mengi na mataifa makubwa ya nje (mabepari) kwa lengo la kupambana na serikalini ya Magufuli ambayo si rafiki kwa watu hao.

Sasa ili kuzima kabisa hisia hizo CHADEMA wanafanya uchangishaji huu ili kuaminisha watu kuwa hawana pesa hivyo kauli ya kwamba wanalipwa itakosa mashiko.
Haki ni mbinu nzuri sana hii na hadi sasa nadhani imefanikiwa kwa asilimia kubwa na wengi tayari wamenasa mtegoni.

Haiingii akilini kabisa eti mhe Tundu Lissu mtu makini kabisa akubali kurudi Tanzania kuja ku risk maisha yake huku akiwa hana pesa za kampeni?!! Hapana kabisa hili haliwezekani asingerudi huku kwasababu naamini hakuna asicho kijua kuhusu chama chake jinsi financial power yake ilivyo, hawezi kuja kugombea Urais kwa kutegemea michango ya walalahoi hata mara moja.

Lengo kuu la changia changia ni kuzima tuhuma za kulipwa na mabepari ili kuivuruga Tanzania na ikiwezekana kushika dola (puppet).

Ni wazo langu tu wandugu nawe waweza toa lako.
Ufadhili utatoka ulaya na wananchi wanaochangia kwa hiari yao ni bora zaidi kwa sababu ni wao wameamua kutoa kuliko aibu ya ccm kutumia kodi zetu kwenye kampeni zao. Jana tulifikiri watu wamekuja wenyewe pale Dodoma kumbe wengine walitishwa kama taasisi moja ya elimu ya juu kama barua ya vitisho kwa wasio hudhuria inavyosambaa mtandaoni, ni kwa mtindo huo huo nyuma ya pazia lazima watishwe ili kuchangia.
 
We ukiona tu mtu anaanza kuona mawazo ya wenzake ni ya kupumbavu ujue apo vise versa is true.

Unashangaa cdm kuchangiwa na kuleta propaganda za kitoto, halafu hushangai uislamu ni dini ya miaka na miaka, lakini juzi wamechangiwa hela ya kujenga msikiti hapo Dodoma, tena mchango wenyewe wa kuwachangia umefanyikia kwenye dhehebu la makafiri.

Simba na Yanga ni timu za kabla ya uhuru, lakini hazina viwanja na ndio zenye mashabiki wengi, unashangaa nini? 90% ya ofisi kubwa za ccm ni za enzi za mfumo wa chama kimoja, na sasa wanatambia hazina maana Magufuli anaweza kuchota pesa atakavyo.
 
Kwanza naomba nitangulize kuomba radhi wale wote ambao nitawakwaza kwa wazo langu hili, Ila naomba tu ileleweke kuwa nimetumia tu haki yangu ya kikatiba kutoa maoni.

Kwa kifupi sana ni kwamba kilichopo nyuma ya hii changia changia inayo endeshwa na CHADEMA kutunisha mfuko wa kampeni ina kitu kikubwa nyuma yake na si Kama hivyo ambavyo wengi wanaymvyoichukulia.

CHADEMA wanafanya hivyo makusudi kwa lengo la kuzima hisia mbaya zinazoanza kujengeka na kuaminika miongoni mwa watanzania ambao ndio wapiga kura kwamba CHADEMA na mgombea wao wanafadhiliwa na kupewa mahela mengi na mataifa makubwa ya nje (mabepari) kwa lengo la kupambana na serikalini ya Magufuli ambayo si rafiki kwa watu hao.

Sasa ili kuzima kabisa hisia hizo CHADEMA wanafanya uchangishaji huu ili kuaminisha watu kuwa hawana pesa hivyo kauli ya kwamba wanalipwa itakosa mashiko.

Haki ni mbinu nzuri sana hii na hadi sasa nadhani imefanikiwa kwa asilimia kubwa na wengi tayari wamenasa mtegoni.

Haiingii akilini kabisa eti mhe Tundu Lissu mtu makini kabisa akubali kurudi Tanzania kuja ku risk maisha yake huku akiwa hana pesa za kampeni?!! Hapana kabisa hili haliwezekani asingerudi huku kwasababu naamini hakuna asicho kijua kuhusu chama chake jinsi financial power yake ilivyo, hawezi kuja kugombea Urais kwa kutegemea michango ya walalahoi hata mara moja.

Lengo kuu la changia changia ni kuzima tuhuma za kulipwa na mabepari ili kuivuruga Tanzania na ikiwezekana kushika dola (puppet).

Ni wazo langu tu wandugu nawe waweza toa lako.
Upuuzi mtupu
 
Amalinze wa Bariadi kastaafu bila mgongo wake kugusa chini!
... yaani Ilibidi tu wasaga sumu wafanye vitu vyao!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Back
Top Bottom