Wazo huru: Serikali iondoe mara moja posho za walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu elimu kata pesa hizo zitumike kuajiri vijana wapya

Wazo huru: Serikali iondoe mara moja posho za walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu elimu kata pesa hizo zitumike kuajiri vijana wapya

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Hii hoja isipuuzwe hata kidogo posho za madaraka wanazolipwa Hawa viongozi hazina maana yoyote ile. Mkuu wa shule na Mwalimu mkuu Huwa hawana vipindi vyovyote shuleni. Muda wote ni kutanga na njia na kusimamia maendeleo ya shule husika.

Kwa kuwa Sheria ya utumishi inataka wazi malipo yalipwe kwa kiwango Cha elimu na Hawa watumishi hulipwa kulingana na kiwango Chao Cha elimu ni muda Sasa wa kulingalia upya suala la kuwapa posho ya Kila mwezi kwani wanapoteuliwa tu kuwa wakuu wa shule ama walimu wakuu Huwa wanajiondolea majukumu ya kufundisha.

Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Haina uwezo wa kuajiri vijana wengi kutokana na ukosefu wa fedha za kuajiri na kwa kuwa mkuu wa shule hulipwa Tsh 250000 kama pesa ya madaraka na Mwalimu mkuu hupewa Tsh 200000 kama posho ya madaraka ni Bora pesa hizo zikatumika kutoa ajira mpya. Am done
 
Hii Wala sio dawa.

Na kumbuka pia pesa hizo ndio hutumika kama malipo kwa ajili ya shughuli za kiutawala kama safari na vikao muhimu.
 
Hii hoja isipuuzwe hata kidogo posho za madaraka wanazolipwa Hawa viongozi hazina maana yoyote ile. Mkuu wa shule na Mwalimu mkuu Huwa hawana vipindi vyovyote shuleni. Muda wote ni kutanga na njia na kusimamia maendeleo ya shule husika. Kwa kuwa Sheria ya utumishi inataka wazi malipo yalipwe kwa kiwango Cha elimu na Hawa watumishi hulipwa kulingana na kiwango Chao Cha elimu ni muda Sasa wa kulingalia upya suala la kuwapa posho ya Kila mwezi kwani wanapoteuliwa tu kuwa wakuu wa shule ama walimu wakuu Huwa wanajiondolea majukumu ya kufundisha.

Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Haina uwezo wa kuajiri vijana wengi kutokana na ukosefu wa fedha za kuajiri na kwa kuwa mkuu wa shule hulipwa Tsh 250000 kama pesa ya madaraka na Mwalimu mkuu hupewa Tsh 200000 kama posho ya madaraka ni Bora pesa hizo zikatumika kutoa ajira mpya. Am done
Leo Arusha ng'ombe mia nne (400) wamechinjwa.

Na kwanini hao ndio wawajibike kwaajiri ya wengine kuajiriwa?

Kwanini hukuangalia kampeni kadha wa kadha zinazoanzishwa ambazo nyingi zinaigharimu serikali pesa nyingi, kampeni kama ile ya goal la mama na nyinginezo zinaulazima gani?

Ni lini serikali imewahi kusema haiwezi kuajiri walimu kwasababu haina fedha?(Tukumbushane hapa)
 
Mtoa mada tafakari majukumu ya Hawa wakuu wa shule na walimu wakuu.Kuna mengi wanapitia wakati mwingine Hadi kukopa ili tu mambo ya shule yaende vizuri.Serikali ilifanya vizuri kuwapa hizo posho.Hizi posho hazina uhusiano na kukosa ajira.
 
Hii hoja isipuuzwe hata kidogo posho za madaraka wanazolipwa Hawa viongozi hazina maana yoyote ile. Mkuu wa shule na Mwalimu mkuu Huwa hawana vipindi vyovyote shuleni. Muda wote ni kutanga na njia na kusimamia maendeleo ya shule husika. Kwa kuwa Sheria ya utumishi inataka wazi malipo yalipwe kwa kiwango Cha elimu na Hawa watumishi hulipwa kulingana na kiwango Chao Cha elimu ni muda Sasa wa kulingalia upya suala la kuwapa posho ya Kila mwezi kwani wanapoteuliwa tu kuwa wakuu wa shule ama walimu wakuu Huwa wanajiondolea majukumu ya kufundisha.

Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Haina uwezo wa kuajiri vijana wengi kutokana na ukosefu wa fedha za kuajiri na kwa kuwa mkuu wa shule hulipwa Tsh 250000 kama pesa ya madaraka na Mwalimu mkuu hupewa Tsh 200000 kama posho ya madaraka ni Bora pesa hizo zikatumika kutoa ajira mpya.
Kwa mawazo haya kuna siku utasema kwenye bei ya mafuta (petrol au dizel) iongezwe tsh 100 kwa kila lita ili hiyo fedha itumike kuajiri walimu.!!!

Huwa nawaza hivi zile tozo ambazo huwa tunakatwa kutoka kwenye miamala huwa zinafanya kazi gani?? Mwanzoni kama miezi miwili ya kwanza tulikuwa tunatangaziwa kiasi kilichopatikana kwa mwezi lakini kwa sasa kimya. Kwa nini hizi fedha zisitumike kuajiri tena sio walimu tu ziajiri hata wataalamu wa kada nyingine.

Kuna fedha nyingi za serikali zinatumika kununua magari ya gharama sana, siku hizi kuna Landcruiser nyingi sana barabarani za gharama sana, nilijaribu kuangalia kwenye mtandao bei zake ni zaidi ya 300M, kwa nini serikali isi opt kununua magari ya bei nafuu ili fedha nyingine zitumike kuajiri wataalam kulingana na kada zao?
 
Hii hoja isipuuzwe hata kidogo posho za madaraka wanazolipwa Hawa viongozi hazina maana yoyote ile. Mkuu wa shule na Mwalimu mkuu Huwa hawana vipindi vyovyote shuleni. Muda wote ni kutanga na njia na kusimamia maendeleo ya shule husika. Kwa kuwa Sheria ya utumishi inataka wazi malipo yalipwe kwa kiwango Cha elimu na Hawa watumishi hulipwa kulingana na kiwango Chao Cha elimu ni muda Sasa wa kulingalia upya suala la kuwapa posho ya Kila mwezi kwani wanapoteuliwa tu kuwa wakuu wa shule ama walimu wakuu Huwa wanajiondolea majukumu ya kufundisha.

Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Haina uwezo wa kuajiri vijana wengi kutokana na ukosefu wa fedha za kuajiri na kwa kuwa mkuu wa shule hulipwa Tsh 250000 kama pesa ya madaraka na Mwalimu mkuu hupewa Tsh 200000 kama posho ya madaraka ni Bora pesa hizo zikatumika kutoa ajira mpya. Am done
Sawa kabisa.
Na mpaka wabunge na mawaziri wakatwe fedha. Hivi jinsi vijana walivyojaa mitaani hawana ajira serikali inafuraia sana inaelekea.

Au ndio kafara ya CCM hiyo, watu wakae bila ajira iliniendelee kuongoza.

Hivi Kuna National register of unemployed kweli ambayo itakuwa supported na ward registers of unemployed.

Kama tukiwa na list ya unemployed kuanzia kwenye kata huoni tutakuwa tumepiga hatua kwenye kujua nani na nani hana ajira na juhudi Gani zifanyike.

How can you fight unemployment issue which is very serious in Tanganyika without a register of unemployed which has to be updated each year half or year end.

Mtendaji WA Kijiji au kata anajua subject wake wasio na ajira kweli?

Chama cha wasio na ajira kianzie hapa tafadhali. TUWE NA REGISTER KILA KATA NCHI NZIMA.
 
Hii hoja isipuuzwe hata kidogo posho za madaraka wanazolipwa Hawa viongozi hazina maana yoyote ile. Mkuu wa shule na Mwalimu mkuu Huwa hawana vipindi vyovyote shuleni. Muda wote ni kutanga na njia na kusimamia maendeleo ya shule husika. Kwa kuwa Sheria ya utumishi inataka wazi malipo yalipwe kwa kiwango Cha elimu na Hawa watumishi hulipwa kulingana na kiwango Chao Cha elimu ni muda Sasa wa kulingalia upya suala la kuwapa posho ya Kila mwezi kwani wanapoteuliwa tu kuwa wakuu wa shule ama walimu wakuu Huwa wanajiondolea majukumu ya kufundisha.

Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Haina uwezo wa kuajiri vijana wengi kutokana na ukosefu wa fedha za kuajiri na kwa kuwa mkuu wa shule hulipwa Tsh 250000 kama pesa ya madaraka na Mwalimu mkuu hupewa Tsh 200000 kama posho ya madaraka ni Bora pesa hizo zikatumika kutoa ajira mpya. Am done
 

Attachments

  • IMG-20250307-WA0029.jpg
    IMG-20250307-WA0029.jpg
    63.8 KB · Views: 1
  • IMG-20250305-WA0007.jpg
    IMG-20250305-WA0007.jpg
    137.3 KB · Views: 1
Hii hoja isipuuzwe hata kidogo posho za madaraka wanazolipwa Hawa viongozi hazina maana yoyote ile. Mkuu wa shule na Mwalimu mkuu Huwa hawana vipindi vyovyote shuleni. Muda wote ni kutanga na njia na kusimamia maendeleo ya shule husika. Kwa kuwa Sheria ya utumishi inataka wazi malipo yalipwe kwa kiwango Cha elimu na Hawa watumishi hulipwa kulingana na kiwango Chao Cha elimu ni muda Sasa wa kulingalia upya suala la kuwapa posho ya Kila mwezi kwani wanapoteuliwa tu kuwa wakuu wa shule ama walimu wakuu Huwa wanajiondolea majukumu ya kufundisha.

Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Haina uwezo wa kuajiri vijana wengi kutokana na ukosefu wa fedha za kuajiri na kwa kuwa mkuu wa shule hulipwa Tsh 250000 kama pesa ya madaraka na Mwalimu mkuu hupewa Tsh 200000 kama posho ya madaraka ni Bora pesa hizo zikatumika kutoa ajira mpya. Am done
Nani kakuambia serikali haina pesa? Hii ni dhihaka kwa serikali yetu. Na hao unaowaonea wivu wanapata kiasi gani? Wew komaa na kada yako hiyo.
 
Watu wana mawazo ya kukufanya ukae njaa kumbe.
Huyo mwenzako naye ana wategemezi.
 
Hii hoja isipuuzwe hata kidogo posho za madaraka wanazolipwa Hawa viongozi hazina maana yoyote ile. Mkuu wa shule na Mwalimu mkuu Huwa hawana vipindi vyovyote shuleni. Muda wote ni kutanga na njia na kusimamia maendeleo ya shule husika. Kwa kuwa Sheria ya utumishi inataka wazi malipo yalipwe kwa kiwango Cha elimu na Hawa watumishi hulipwa kulingana na kiwango Chao Cha elimu ni muda Sasa wa kulingalia upya suala la kuwapa posho ya Kila mwezi kwani wanapoteuliwa tu kuwa wakuu wa shule ama walimu wakuu Huwa wanajiondolea majukumu ya kufundisha.

Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Haina uwezo wa kuajiri vijana wengi kutokana na ukosefu wa fedha za kuajiri na kwa kuwa mkuu wa shule hulipwa Tsh 250000 kama pesa ya madaraka na Mwalimu mkuu hupewa Tsh 200000 kama posho ya madaraka ni Bora pesa hizo zikatumika kutoa ajira mpya. Am done
Sasa hiyo posho ya walimu wakuu ndo iweze kuajiri vijana wapya? Labda ungeenda moja kwa moja kwamba hicho cheo kifutwe kama unadhan hawana kazi. Lakini kama hicho cheo kipo, hamuwezi kuwa sawa. Tena walipaswa kuongezewa tu. Unless ungesema tu, wasiotekeleza majukumu yao wawajibishwe.
 
Hii hoja isipuuzwe hata kidogo posho za madaraka wanazolipwa Hawa viongozi hazina maana yoyote ile. Mkuu wa shule na Mwalimu mkuu Huwa hawana vipindi vyovyote shuleni. Muda wote ni kutanga na njia na kusimamia maendeleo ya shule husika. Kwa kuwa Sheria ya utumishi inataka wazi malipo yalipwe kwa kiwango Cha elimu na Hawa watumishi hulipwa kulingana na kiwango Chao Cha elimu ni muda Sasa wa kulingalia upya suala la kuwapa posho ya Kila mwezi kwani wanapoteuliwa tu kuwa wakuu wa shule ama walimu wakuu Huwa wanajiondolea majukumu ya kufundisha.

Ikumbukwe kuwa serikali ya Tanzania Haina uwezo wa kuajiri vijana wengi kutokana na ukosefu wa fedha za kuajiri na kwa kuwa mkuu wa shule hulipwa Tsh 250000 kama pesa ya madaraka na Mwalimu mkuu hupewa Tsh 200000 kama posho ya madaraka ni Bora pesa hizo zikatumika kutoa ajira mpya. Am done
Comment zinatosha kukuambia umeandika ushuzi uliojaa wivu Kwa watu ambao ni hawana chochote. Yaani mwalimu Mkuu mlala hoi bado unataka kidogo anachopata apokonywe? Kweli maskini wanaharibiana wao kwa wao
 
Back
Top Bottom