Khaleed Mgambilwa
Member
- May 2, 2018
- 20
- 27
Ndio hivyoKweli
Ni kweli kabisa...Uamuzi wako wa kusikiliza sana maneno ya watu na kuwafanya wao ndio majaji na wa waamuz wa maisha yako, yaani mpaka wakuthibitishe wao ndio ufanye jambo, itakugharimu nguvu nyingi sana Kufikia Mafanikio...
Acha kusoma sasa fanya kwa vitendo yale uliyosoma.Hii inanigharimu hata sasa. Sijui kwann naloose confidence a day after day licha ya kusoma motivation articles nyingi sana
Aha ha a nacheka utafikiri mazuri, inshort self motivated people ndo huwa wanawin . article ni kama energizer tu usipotumia hoiHii inanigharimu hata sasa. Sijui kwann naloose confidence a day after day licha ya kusoma motivation articles nyingi sana
[emoji109]...Uamuzi wako wa kusikiliza sana maneno ya watu na kuwafanya wao ndio majaji na wa waamuz wa maisha yako, yaani mpaka wakuthibitishe wao ndio ufanye jambo, itakugharimu nguvu nyingi sana Kufikia Mafanikio...