Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
Unaweza nipa maelezo kamiliKawe mpiga debe magufuli
Shukrani mkuuUza chenji asubuhi saa 11 mpaka saa4 asubuhi
Mtaji laki moja
Nitafika leoPale Magufuli Terminal au maeneo ya karibu na pale kuna fursa ya biashara nyingi mno za usiku. nenda pale kafanye Research uone ipi itakufaa kwa mtaji ulio nao.
Kama uko dsm baba nakusihi uza Chai na kahawa kwa abiria aidha shekilango au mbezi Sema mbezi ndo kumedamshiJambo,
Mwenye wazo la biashara ndogo ambayo naweza kimbiza (03:00-05:00 Am)
Hii ni kwa sababu ya ratiba kubana
Karibuni kwa mawazo
Baba umetisha, God blessKama uko dsm baba nakusihi uza Chai na kahawa kwa abiria aidha shekilango au mbezi Sema mbezi ndo kumedamshi
Changamoto ni kubeba lile jiko kwenye daladalaBaba umetisha, God bless
Wazo zuri ila mtaji ni 200k tuWahi machinjioni Vingunguti saa tisa alfajiri, nunua mzigo wa nyama ya kutosha kisha sambaza kwenye mabucha maarufu katika viunga vya Dar es salaam.
Muda mzuri sana huu, asanteUji wa lishe na maziwa pale magufuri uanze saa 8 usku hapo ni chupa zako 5 zle kubwa kila kikombe jero kila chupa ukmaliza faida ni elf 2 hii ni kwa uzoefu si kuambiwa so hapo huitaji kutembea na jiko ni chupa na vikombe tu bei ya chupa kubwa ni elf 20 moja
Laki mbili inatosha kuanza na nusu mbuzi kwa mfano, ikauzwe kwenye baa zinazokesha maana asubuhi sana supu inatayarishwa kwa walevi wenye mning'inio.... 😂Wazo zuri ila mtaji ni 200k tu
Kwamba mabucha siku zote hayana suppliers wa nyama?Wahi machinjioni Vingunguti saa tisa alfajiri, nunua mzigo wa nyama ya kutosha kisha sambaza kwenye mabucha maarufu katika viunga vya Dar es salaam.
Ni wazo tuKwamba mabucha siku zote hayana suppliers wa nyama?
Kwamba unaibuka tu kuwasambazia nyama waache kuchukua kutoka kwa wasambazaji wao wa siku zote?
Kwamba wewe ni mjinga
Biashara zote tayari zina watu, unapotaka kuanza biashara ni lazima upambanie nafasi kwenye game!. Mdau ameulizia wazo la biashara na ametoa window frame, nadhani maswali unayouliza anapaswa kujiuliza aliyeleta mada.Kwamba mabucha siku zote hayana suppliers wa nyama?
Kwamba unaibuka tu kuwasambazia nyama waache kuchukua kutoka kwa wasambazaji wao wa siku zote?
Kwamba wewe ni mjinga