Wazo la biashara, fursa na urahisi wa huduma kwa gharama nafuu

Wazo la biashara, fursa na urahisi wa huduma kwa gharama nafuu

V Chief

Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
78
Reaction score
145
Nimekaa na kuwaza ya kwamba kama inavyofanyika katika nchi zingine basi hata Tanzania inawezekana tukiwa na utayari na mpangilio mzuri wa mikakati katika nyanja mbalimbali za utoaji huduma.

Mfano, kwa mtu mwenye duka/biashara ya kuuza bidhaa zozote iwe simu, nguo n.k anaweza kufungua website ya duka au biashara yake na kuweka humo bidhaa zote zinazopatikana zikiwa na bei yake elekezi ambapo mtu anaweza kuchagua bidhaa hizo na kuzilipia popote pale alipo(hususani nyumbani) ambapo sio lazima afike dukani hapo na mwenye biashara akawa/akingia ubia na mtu ili awe anafanya delivery kwa wateja wake katika eneo husika la mji kwa kila mteja aliyenunua bidhaa kwa gharama nafuu kabisa(yawezekana 1000tshs) kumfikishia mteja mzigo kupitia mawasiliano aliyotoa na sehemu ambapo mteja huyo anapatikana.

Dhumuni langu la kuleta hili wazo kwenu wana JF ni kuweza kupata maoni ni kwa namna/kiasi gani ili wazo linaweza kufanikiwa na ni changamoto zipi ambazo unaona zinaweza kujitokeza kwenye utekelezaji wa suala hili.

Karibu kwa hoja zaidi, Ahsante.
 
Nimekaa na kuwaza ya kwamba kama inavyofanyika katika nchi zingine basi hata Tanzania inawezekana tukiwa na utayari na mpangilio mzuri wa mikakati katika nyanja mbalimbali za utoaji huduma.

Mfano, kwa mtu mwenye duka/biashara ya kuuza bidhaa zozote iwe simu, nguo n.k anaweza kufungua website ya duka au biashara yake na kuweka humo bidhaa zote zinazopatikana zikiwa na bei yake elekezi ambapo mtu anaweza kuchagua bidhaa hizo na kuzilipia popote pale alipo(hususani nyumbani) ambapo sio lazima afike dukani hapo na mwenye biashara akawa/akingia ubia na mtu ili awe anafanya delivery kwa wateja wake katika eneo husika la mji kwa kila mteja aliyenunua bidhaa kwa gharama nafuu kabisa(yawezekana 1000tshs) kumfikishia mteja mzigo kupitia mawasiliano aliyotoa na sehemu ambapo mteja huyo anapatikana.

Dhumuni langu la kuleta hili wazo kwenu wana JF ni kuweza kupata maoni ni kwa namna/kiasi gani ili wazo linaweza kufanikiwa na ni changamoto zipi ambazo unaona zinaweza kujitokeza kwenye utekelezaji wa suala hili.

Karibu kwa hoja zaidi, Ahsante.
Oh! Wazo zuri japo sio jipya.. kuna jamaa kariakoo pale wamejiajir kazi yao ni kudeliver mizigo ya watu Daresalaam mzima na wanachaji buku mbili tu per head.. nimejionea mwenyew kwa macho yangu mkuu
 
Oh! Wazo zuri japo sio jipya.. kuna jamaa kariakoo pale wamejiajir kazi yao ni kudeliver mizigo ya watu Daresalaam mzima na wanachaji buku mbili tu per head.. nimejionea mwenyew kwa macho yangu mkuu
Huduma makini sana hii hapo mtoa huduma anaitajika kua na magari kadhaa ya kusafirisha mizigo Kwa wateja wake si ndio ?
 
Huduma makini sana hii hapo mtoa huduma anaitajika kua na magari kadhaa ya kusafirisha mizigo Kwa wateja wake si ndio ?
Akimiliki magari huyo ni transporter! Hiko ni kitu kingine. Huyu anataka kufanya kazi kama deliverer... na hii chaji yake hata kwa pikipiki itamshinda. Standard ya bei ya deliver ni buku 3 kariakoo. N deliver man hapo anatumia daladala
 
Akimiliki magari huyo ni transporter! Hiko ni kitu kingine. Huyu anataka kufanya kazi kama deliverer... na hii chaji yake hata kwa pikipiki itamshinda. Standard ya bei ya deliver ni buku 3 kariakoo. N deliver man hapo anatumia daladala
Ok kumbe yy mwenyewe ndio anapeleka. Hapa nimeelewa kwaiyo hapo mtaji ni uaminifu si ndio ?.
 
Ok kumbe yy mwenyewe ndio anapeleka. Hapa nimeelewa kwaiyo hapo mtaji ni uaminifu si ndio ?.
Some vizuri umuelewe... hili wazo lake sio baya lakini sio jipya. Lakin pia linahitaji uwaombee wengine mazuri wauze bishara ili wewe upeleke. Hii inatakiwa uwe network kubwa kwelikweli na ukae attention na eneo la bidhaa unazohitaji kudeliver mana inatakiwaga sharp kwelikweli. Upo kariakoo mtu anakwambia niko bunju huku mzigo unahitajika ndani ya nusu saa
 
Some vizuri umuelewe... hili wazo lake sio baya lakini sio jipya. Lakin pia linahitaji uwaombee wengine mazuri wauze bishara ili wewe upeleke. Hii inatakiwa uwe network kubwa kwelikweli na ukae attention na eneo la bidhaa unazohitaji kudeliver mana inatakiwaga sharp kwelikweli. Upo kariakoo mtu anakwambia niko bunju huku mzigo unahitajika ndani ya nusu saa
Tofauti na Dar es Salaam, vipi kwa majiji au mikoa mingine?
 
Tatizo uaminifu wa mteja na muuzaji, pande zote mbili hua uaminifu ni tatizo la asili kwa mTanzania
 
Tofauti na Dar es Salaam, vipi kwa majiji au mikoa mingine?
Sina experience na mikoa tofauti kaka, niliwah kukaa shnyanga lakin ni kijiji tu. Sijajua mbeya, Arusha, Mwanza na Tanga wanaendeshaje biashara. Pia sijajuakwa zanzibar shughuli hiz zinaonekaje. Ila uwe na network kubwa sana. Cha kwanza ni kuaminiwa na wauzaji mana wao wnakupa mzigo upeleke hela yako na yao utapewa wewe ulete

Cha pili ni kuwa na details muhimu tu.. hii ukitaka kufanya vizur labda uiweke kama kikampuni flani kidogo kinachoweza kuingia mkataba na makampuni mengine yanayouza bidhaa/import bidhaa kama silent ocean. Na hiyo ni level nyingine mana unahitaj kuwa na magari
 
Sina experience na mikoa tofauti kaka, niliwah kukaa shnyanga lakin ni kijiji tu. Sijajua mbeya, Arusha, Mwanza na Tanga wanaendeshaje biashara. Pia sijajuakwa zanzibar shughuli hiz zinaonekaje. Ila uwe na network kubwa sana. Cha kwanza ni kuaminiwa na wauzaji mana wao wnakupa mzigo upeleke hela yako na yao utapewa wewe ulete

Cha pili ni kuwa na details muhimu tu.. hii ukitaka kufanya vizur labda uiweke kama kikampuni flani kidogo kinachoweza kuingia mkataba na makampuni mengine yanayouza bidhaa/import bidhaa kama silent ocean. Na hiyo ni level nyingine mana unahitaj kuwa na magari
Ahsante.
 
1738564139756logo.jpg.png

Mawazo 114 ya Biashara na Mitaji yake: Hatua kwa Hatua Jinsi ya Kuanzisha Biashara 114.
Whatsapp: 0687746471
 
Back
Top Bottom