Wazo la biashara, kutumia TEHAMA katika kusafirisha mizigo kutoka Kariakoo kwenda mikoani

Wazo la biashara, kutumia TEHAMA katika kusafirisha mizigo kutoka Kariakoo kwenda mikoani

mzizi1

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
265
Reaction score
703
Habari wakuu, nina mfumo ambao unamuwezesha mteja kufuatilia mzigo wake kila hatua mpaka unamfikia bila utumizi wa Internet, yaani nipo Mwanza nimeagiza mzigo kariakoo, nikisha lipia, niweze kufuatilia kila hatua mzigo ulipo, utanifikia saa ngapi, utapita wapi kwa mud gani nk bila kutumia gharama yoyote ile ya ziada.na ninaweza pata taarifa kuhusu mzigo muda wowote ule

Nahitaji mtu/watu wakufanya nao kazi ambao watakuwa wanahusika na kukusanya mizigo kariakoo na sehemu zingine za dar na kisa kuisafirisha.

Kwa maelezo zaidi kuhusu hili naomba tuonane PM
 
nipo pia 0769698080, naomba fursa ,suala si ni kusukuma izo log, mteja apate infomation kuhusu mzigo recently.
 
Habari wakuu, nina mfumo ambao unamuwezesha mteja kufuatilia mzigo wake kila hatua mpaka unamfikia bila utumizi wa Internet, yaani nipo Mwanza nimeagiza mzigo kariakoo, nikisha lipia, niweze kufuatilia kila hatua mzigo ulipo, utanifikia saa ngapi, utapita wapi kwa mud gani nk bila kutumia gharama yoyote ile ya ziada.na ninaweza pata taarifa kuhusu mzigo muda wowote ule

Nahitaji mtu/watu wakufanya nao kazi ambao watakuwa wanahusika na kukusanya mizigo kariakoo na sehemu zingine za dar na kisa kuisafirisha.

Kwa maelezo zaidi kuhusu hili naomba tuonane PM
Kama upo dar tuonane na idea kama hii iliyoboreshwa.
 
Safi sana vijana. Mimi pia najipanga nataka niwe digital sana kwenye biashara zangu. Mtoa uzi una kitu kichwani nadhani muda ukifika nitakutafuta tufanye kitu kitakachotupa noti ndefu kwa haraka.
 
Back
Top Bottom