Njoo pm tuyajengeJamani ndugu zangu wana JF, ninalo wazo kabambe la Biashara.
Na wazo langu haliko na mambo mengi, lakini kila kitu kipo kwa uhakika. Nipo Dar es salaam
Natafuta mtu tunayeweza kuingia naye ubia katika biashara hii itakayogharimu Tsh 500,000 ili kuanza.
Tunaweza kuwasiliana kwa namba 0784585481
Tupe na sisi hili wazo la biashara mkuuNatafuta mtu was kunipa milioni 7 namrudishia baadabya miezi 8 Kila milioni moja inazaa milioni 6 juu kwahiyo aliye serious anicheki
Natafuta mtu was kunipa milioni 7 namrudishia baadabya miezi 8 Kila milioni moja inazaa milioni 6 juu kwahiyo aliye serious anicheki
Tengua kauli au mm ndio cjui hesabuNatafuta mtu was kunipa milioni 7 namrudishia baadabya miezi 8 Kila milioni moja inazaa milioni 6 juu kwahiyo aliye serious anicheki
nimewah kufuga kuku dodoma kuku wanatoka mm nlkuwa nauzia pale majengo sokoniWakuu mm Nina malengo ya kuanza ufugaji wa kuku aina ya broiler Kwa mkoa wa dodoma,,, naomba mwenye abc kuhusu hii biashara Kwa upande wa dodoma ipoje msaada plz