Wazo la biashara kwa Tsh. 3M

Wazo la biashara kwa Tsh. 3M

1ndazMaterial

Senior Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
161
Reaction score
175
Habari za muda huu wapendwa, hope mko poa kabisa. Guys nina 3m nawaza nifanye biashara gani tho professional yangu ni photography ila naona kama hii pesa 3M ni haitoshi kwa mtaji wa studio nadhan hii ni bei ya camera moja tu kali tena used.

Basi nikawa nimewaza kufanya biashara ya nguo sema hilo duka la nguo linakua lina base tu nakuuza jeans za kike za zakiume kwa whole sale na retail. maana kwa hapa nilipo mimi hamna duka ambalo wanauza jumla jumla nguo, wauzaji wanafuata mwz, Dar.

Je, hilo wazo limekaaje wakuu?
Msaada wenu wana JF
Naomba kuwasilisha.
 
Wazo zuri, wale wajuzi wa chimbo za nguo za kijanja K.koo jeans,t_shirt, kadeti njoo mtupe machimbo ya kupata hizo items kwa bei nafuu.

Natanguliza shukrani za dhati
 
Tuwasubiri ndg yangu watujuze vzr natamn sana pia kuyajua hayo machimbo
 
Habari za muda huu wapendwa, hope mko poa kabisa. Guys nina 3m nawaza nifanye biashara gani tho professional yangu ni photography ila naona kama hii pesa 3M ni haitoshi kwa mtaji wa studio nadhan hii ni bei ya camera moja tu kali tena used.

Basi nikawa nimewaza kufanya biashara ya nguo sema hilo duka la nguo linakua lina base tu nakuuza jeans za kike za zakiume kwa whole sale na retail. maana kwa hapa nilipo mimi hamna duka ambalo wanauza jumla jumla nguo, wauzaji wanafuata mwz, dar

Je, hilo wazo limekaaje wakuu?
Msaada wenu wana jf
Naomba kuwasilisha.
Kwa biashara ya nguo subilia kwanza joto lipungue mkuu. Kwani kwa ongezeko hili la joto usishangae watu tukaamua kutembea uchi. Hivyo hutapata mteja wa kumuuzia.
 
Back
Top Bottom