EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
You are very right. Biashara huwa huanzi na kufanikiwa tu paap unless iwe ni biashara ambayo unairithi. Kwa maneno mengine biashara ambayo kila kitu kiko in place, wateja wapo na hela zipo.Kitu nilichojifunza kwenye ujasilia mali na biashara kwa ujumla ni unatakiwa kufanya attempts kadhaa ndipo ufanikiwe.
Sasa inapotokea una mtaji wa ngama aiseee ni changamoto maana huo mtaji hauwezi kusurvive kwasababu hauna backup ya hicho unachokifanya.
Swali la msingi je wewe mwenyewe unajimudu kimahitaji? Kwa maana kwasasa bila ya hicho unachotaka kufanya unauhakika wa kupata milo angalau miwili na mahitaji mengine ya msingi pasipo kupitia huo mtaji?
Biashara au uwekezaji wowote unahitaji muda wa kulelewa kabla haijasimama yenyewe sasa je katika kipindi hicho cha transition una uwezo wa kujimudu pasipo kutegemea uwekazaji wako?
Mara nyingi wamama wauza maandazi, chakula na aina hizo za biashara wengi hawatoboi kwasababu sehemu ya faida inaingia kwenye matumizi ya msingi ya kila siku ya familia.
Ushauri wangu tafuta biashara ya mtaji mdogo kati ya laki moja hadi mbili kisha focus hata kama ukianguka rudia tena na tena kwa kutumia fedha uliyobakiwa nayo. Baada ya attempts kadha ambazo utakua umekosea utakua unajifunza pale ulipokosea
Most successful business kwa uwelewa wangu ni zile xinazowafanya wafanyabiashara wengine kuwa wateja. Ukiuza jinzi kama humuuzi anayeenda kuuza hakikisha umekaa sehem ambayo watakuona watu wapya kila siku.You are very right. Biashara huwa huanzi na kufanikiwa tu paap unless iwe ni biashara ambayo unairithi. Kwa maneno mengine biashara ambayo kila kitu kiko in place, wateja wapo na hela zipo.
Yeah kwa maneno mengine model ya B2B ndio ambayo inakuhakikishia successful rate kuliko biashara ya B2C. Anaweza kulifikiria hilo na pia naona hii model ya B2B competition inakuwa sio kubwa sana compared na kuwauzia wateja moja kwa moja.Most successful business kwa uwelewa wangu ni zile xinazowafanya wafanyabiashara wengine kuwa wateja. Ukiuza jinzi kama humuuzi anayeenda kuuza hakikisha umekaa sehem ambayo watakuona watu wapya kila siku.
Nimefanya biashara ya mitumba ilala.. inalipa sana lakin inategemea sana mapointa. Kipindi Cha mvua biashara ile inayumba sana. Watu sokoni hawaji. Kwa jamaa anaweza akafikria bidhaa ndogondogo lakin sayansi nzuri ya kuitekelza ni aidha kukutana na watu wapya kila siku au kuwauzia wafanyabiashara.
Milion Moja n laki nane uingize laki tisa kwa mwezi? Kweli wewe Bado ni graduateHabari zenu mm kijan mwenyew miak 24 nimemaliz chuo nimekusanya pesa yangu ya boom nimepata 1.8m naomba wazo biashara ambalo nitakuw nauwez kuigiza al least ellf 30 kwa siku nip dar
Hili litamfelisha dogo, betting at your own risk.Subiri Euro ipite wiki hii, wiki ile ligi zinaendelea. Mpe;
Inter M (odds 1.52)
Newcastle Utd (odds 1.68)
Arsenal (odd 1.31)
Spur (odd 1.48)
Man Utd (odd 2.54)
(1.52×1.68×1.31×1.48×2.54) 12.6 Odds
Katika hizo odds 12.6 stake 500K kwanza
500,000×12.6= itakuja kama 6,300,000 Tax hapo ni 18% kwahiyo kwenye akaunti yako itaingia Tshs5,166,000/=
Kwenye hiyo Tshs5,166,000/= nunua Bajaj used unaweza kupata kwa 4.5M, au basi achana na Bajaj, ingia zako wilayani (mji ambao unakuwa) fungua duka la spare za pikipiki na Bajaj Anza na vitu vya muhimu kwanza fungua na ka'workshop hapo. Jifunze na wewe kidogo ufundi wa pikipiki Anza na zile nyepesi endelea kuongeza spares za kutosha ikiwezekana Anza na kuagiza spare za tractor panua workshop yako fanya kazi kisomi uje ulete ushuhuda mwaka 2025 kabla Bi mkubwa hajaapishwa.
Na totnum 🤣🤣🤣Kaka man United hiii na Newcastle unatk nilie kak
Hapa KWA mademu umekazia balaaa.......Fanya kwanza utafiti kuhusu aina mbalimbali za biashara na hakikisha ni ile ambayo unaipenda. Angalia utapata wapi cheap supply na pia demand yake katika eneo lako ikoje, angalia costs za hizo biashara. Utafiti huu fanya mwezi mmoja tu kabla ya kuanza.
Mwisho Kaa mbali na wanawake, hakikisha ukae mbali nao, na hata ikitokea biashara ikatick, Kaa mbali nao , fungua biashara nyingine zaidi na zaidi, mtumainie Mungu na uwe na NIDHAMU kuliko walioajiriwa, utatoboa.
Samahani mkuu...Betting
Kuna report moja ilisema wanafunzi siku hizi wanabetia pesa ya mkopo.Sasa huyu nae Bumu anataka kulifanyia biashara.Biashara ikikataa je?Samahani mkuu...
Leo ulimuachia mtoto sim, ama account yako ilidukuliwa..??😳
Nicheki pm Tu share michongoHabari zenu mm kijan mwenyew miak 24 nimemaliz chuo nimekusanya pesa yangu ya boom nimepata 1.8m naomba wazo biashara ambalo nitakuw nauwez kuigiza al least ellf 30 kwa siku nip dar
Kuwa na mademu wengi wakati unajitafuta ni kujitafutia umaskini.Hapa KWA mademu umekazia balaaa.......
Pia na marafiki au ndugu ambao hawa add value (ongezi thamani) ya biashara YAKO ni changamoto nyingineKuwa na mademu wengi wakati unajitafuta ni kujitafutia umaskini.
Umemueleza ukweli piga 30 mara 7 alafu uzidishe mara wiki 52 za mwaka=Unaonesha uko na tamaa sana! Kutaka faida ya elfu 30 ndani ya milioni 1.8 kwa siku ni tamaa itakayokupeleka pabaya.
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]nakazia aanze na hela kidogo tu isiyozidi laki 3 kwa ajili ya kujifunza biashara yaani kwa mfano anaenda nayo kariakoo ananunua vitu vidogovidogo kama pafyumu,saa,Tshert na pensi/suruali za mtumba kisha anaenda kuwauzia wanachuo wenzake akiwa hostel hii itampa muda wa kujifunza biashara na jinsi ya kuzimudu stress zake.Huo mtaji wa 1.8mil ni pesa nyingi sana kwako na huwezi mudu kuendesha biashara kwa mtaji huo kwasababu wewe huna akili za kibiashara nakushauri
Omba ushauri wa biashara kuanzia mtaji wa elfu 50 hadi laki 2.
Pesa zingine zitunze kwanza
Kumbuka biashara huanza hatua kwa hatua na asie sikia la mkuu huvunjika guu