Wazo la biashara rahisi

Wazo la biashara rahisi

muuza vitu

New Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
3
Reaction score
1
Imekua nikama uvivu ama kutojitambua kwa watu wengi juu ya kuwa na wazo la biashara lakini kuianzisha biashara yenyewe inakua mthihani kweli kweli na hii kasumba sijui ni kwa biashara kubwa tu au hata ndogondogo?

20241129_102841.jpg
 
Wengi wetu elimu haituandai kwa ajili ya biashara, familia hazituandai.....akili yote inakua ni kusoma ili uje kuajiriwa.
Sasa baada ya kupigwa jua vilivyo ndo unaibuka tu kuwaza biashara kitu ambacho ni kipyaaa huna abc lazma tu upitie magumu.
 
Samahani kwa kuzaliwa mnene
download.jpg

Samahani kwa kuzaliwa mwembamba
download (1).jpg

Maana upataji wako wa hela sijui walianza kukujudge wapi!? Kama bado haujafika kwa mama yako Ajiri Utumwa.. Sijui Shule, Sijui Hospitalini, Sijui Hotelini, Sijui Mtaani, Sijui kazini, Sijui msikitini/Kanisani/Sijui msibani
download (2).jpg

Maana wamejiajiri kutukana wakunga na wamekuajiri wewe pekeyako kuwakanya..
 
Back
Top Bottom