Che Robert
New Member
- Dec 31, 2012
- 2
- 0
Habari wandugu,
Naomba mawazo yenu. Najaribu kuumiza kichwa jinsi ya kupata mtaji. Hivi sasa nimefanya utafiti na kujiridhisha kuhusu biashara ya Jumla ya Vinywaji Baridi. Frame ninayo tatizo mahali pa kupata mtaji wa km 8m mpaka 10m ili niwe na bidhaa za kila ujazo na za makampuni mbalimbali ukizingatia makampuni sasa bidhaa zao nyingi huhifadhiwa kwenye chupa za plastic.
Naomba ushauri najua kuna mabank lakini ni benki ipi ipo tayari kumsaidia mjasiriamali anayetaka kuanza bishara mpya.
Asante
Naomba mawazo yenu. Najaribu kuumiza kichwa jinsi ya kupata mtaji. Hivi sasa nimefanya utafiti na kujiridhisha kuhusu biashara ya Jumla ya Vinywaji Baridi. Frame ninayo tatizo mahali pa kupata mtaji wa km 8m mpaka 10m ili niwe na bidhaa za kila ujazo na za makampuni mbalimbali ukizingatia makampuni sasa bidhaa zao nyingi huhifadhiwa kwenye chupa za plastic.
Naomba ushauri najua kuna mabank lakini ni benki ipi ipo tayari kumsaidia mjasiriamali anayetaka kuanza bishara mpya.
Asante