tunashauri mtu kufanya biashara anayopenda, pia kumtia moyo ili angalau aanze biashara, kwani siyo vyote faida/pato au changamoto unaweza kuziona kabla ya kuingia uwanjani, pia tunasisitiza utafiti yakinifu wa kina kabla hasa masoko, gharama za uwendeshaji kwa kifupi SWOT analysis na mbinu zingine, mm nachojua aina hiyo biashara turnover ni kubwa sana tatizo ni profit margin inakuwa ndogo sana, unavyofikiria MKOPO WA BANKI na riba za mabanki yetu nahofia naomba ukae na mshauri wako mlipitie hilo kwanza....