Wazo la biashara ya internet uswahilini

Wazo la biashara ya internet uswahilini

Annonymous

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2013
Posts
688
Reaction score
1,126
Habari. Nina wazo la biashara inahusisha zaidi kugawa huduma ya internet kwa wananchi kwa ghalama nafuu. Hii itawagusa wote wa chini na wafanya biashara.
Nahitaji mtu mwenye mtaji na uzoefu katika sekta ya mawasiliano hasa aliyewahi kifanya kazi kwenye makampuni ya simu au katika kampuni inayohusu data server, ip adresses, adsl na comcept zinazohusiana.

Niko radhi kumweleza wazo ila lazima
1. Ameet vigezo hivyo
2. Mazungumzo ni ana kwa ana
3. Siuzi wazo isipokuwa lazima kuwe na makubaliano ya pamoja ya kufanya kazi

Mwenye vigezo hvyo njoo DM nitakupatia email au namba ya mawasiliano na tuta arrange sehemu ya kumeet tuanze mkutano wa kwanza
 
Habari. Nina wazo la biashara inahusisha zaidi kugawa huduma ya internet kwa wananchi kwa ghalama nafuu. Hii itawagusa wote wa chini na wafanya biashara.
Nahitaji mtu mwenye mtaji na uzoefu katika sekta ya mawasiliano hasa aliyewahi kifanya kazi kwenye makampuni ya simu au katika kampuni inayohusu data server, ip adresses, adsl na comcept zinazohusiana.

Niko radhi kumweleza wazo ila lazima
1. Ameet vigezo hivyo
2. Mazungumzo ni ana kwa ana
3. Siuzi wazo isipokuwa lazima kuwe na makubaliano ya pamoja ya kufanya kazi

Mwenye vigezo hvyo njoo DM nitakupatia email au namba ya mawasiliano na tuta arrange sehemu ya kumeet tuanze mkutano wa kwanza
Deal ni mabando ya bei kitonga tu, kinyume na hapo huwezi kueleweka, na Internet cafe hiyo biashara ilishauliwa na ujio wa smartphone.
 
Nimekwambia hujui kitu we kula kacholi. Unajua maana ya criminal case?
Serikali inatoa leseni inabariki harafu we unasema criminal case kvp ndugu yangu. Hebu eleza kidogo huwenda leseni niliyoiona ya telecom sio ya serikali hii ni ya ussr
Wewe kunywa vizungura tu, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwa partner na kichaa.
 
Nimekwambia hujui kitu we kula kacholi. Unajua maana ya criminal case?
Serikali inatoa leseni inabariki harafu we unasema criminal case kvp ndugu yangu. Hebu eleza kidogo huwenda leseni niliyoiona ya telecom sio ya serikali hii ni ya ussr
Mimi ngekuwa nakaaa huko dar ngekuja lkn mm Niko mbali nafahamu Sana hii business Kwa sababu nmefanya na bado nakifanya nauza internet chuoni Kwa kutumia code
 
Mimi ngekuwa nakaaa huko dar ngekuja lkn mm Niko mbali nafahamu Sana hii business Kwa sababu nmefanya na bado nakifanya nauza internet chuoni Kwa kutumia code
Elezea kidogo hii Mkuu, huwa unafanyaje?
*Changamoto
*ISP unatumia yupo?
*Taratibu za vibali
 
Mimi ngekuwa nakaaa huko dar ngekuja lkn mm Niko mbali nafahamu Sana hii business Kwa sababu nmefanya na bado nakifanya nauza internet chuoni Kwa kutumia code
Ungeelezea kidogo tupate mwanga sasa umepita na ukali TU shwaaa
 
Kwahy umesema mtu awe na mtaji na uzoefu ila ww utaweka wazo.
Kwahy mtu awe na mtaji na uzoefu afu akose hilo wazo?
 
Ungeelezea kidogo tupate mwanga sasa umepita na ukali TU shwaaa

WIFI BUSINESS VIA VOUCHER CODE {MICROTIK AND OAMADA SYSTEM NA ZINGINEZO} SMALL SCALE BUSINESS

hapa tutatumia microtik na omada system at the same time na maana kwamba kuna features kwenye omada hazipo ambazo ni very dangerous sana so ndo maana microtik inatumika lkn pia omada ni simple kwenye kutumia kuliko microtik. omada ia easy management system
VIFAA.
1 microtik {KUZUIA SCANING na {HOTSPOT CREATION}
2 omada hardware {optional}{HAPA UNAEZA KUNUNUA AU KUADOPT NI 13,000/= KWA MWEZ KWA AJILI YAKUTENGENEZA VOUCHER}
3 access point za tplink eap 110,225,610 nk{ INADEPEND UNASITE NGAP}
4 internet wire {HAPA IT DEPENDS NA UMBALI UNAOTAKA KUWEKA HUDUMA ILA TPLINK EAP 225 NDO NZR ZINANGUVU}
6 router{HAPA KAMA UNAHITAJ ROUTER CHUKUA HZ ZA AIRTEL ALAFU FORMAT ZISOME MTANDAO WOWOTE AFU ZITUMIE} au fiber interner na mbps kulingana na wateja utakao kua nao{SITE 5 KILA SITE MBPS 50 KULINGANA NA WINGI WA WATU
7 load balance ER 605 [HII KWAAJILI YAKUBALANCE MBPS KILA ACCESS POINT ZIPATE MBPS KAMA NI 50 MBPS BAS KILA ACCESS POINT ZIWE NA 25 KWA 25}
6 POST {HAPA HII NI CHUMA YA KUSHIKILIA ACCESS POINT}

UMUHIMU WA HII SYSTEM.
1 Utakuwa na uwezo wa kumonitor vifaaa vyako hata kama uko mbali.
2 utakua na uezo wa kuzuia SCANNING na kuzuia watu WASITENGENEZE HOSTPOT pia wateja wote watatumia
-voucher code kuingia kwenye mfumo wako via customized portal ambayo utakua ushaitengeneza.
3 Utakua na uwez wakum control mteja unavyotaka hata kama ukimpangia atumie mb 1 fresh tu au atumie anavyotaka fresh tu

INTERNET SERVICE PROVIDER {ISP}
Isp mzuli ni VODACOM kwa kutumia router via wireiess na TTCL kwa upande wa fiber hao wengine siwaamin airtel sometimes wanashusha mbps zao ko unawez kujikuta unaingia hasara kichiz na inadepend ASILIMIA KUBWA YA WATU WENGI SIMU ZAO NI 4g KO ITS BETTER UKACHUKUA MBPS KWANZIA 50 KUSHUKA CHIN YAN NAMAANA KWAMBA NIBETTER UKAWA NA KILA STATION NA ROUTER YAKE ILA PORTAL IKAWA MOJA {HAPA NA MAANA KWAMBA HATA KAMA MTU ATAHAMA KUTOKA POINT A KUJA B BADO ATAPATA INTERNET YAN MFUMO MZM KAMA WA MINALA HATA KAMA UKIUNGA BANDO MWANZA UKIENDA DAR BADO UNAUWEZ WAKUTUMIA INTERNET} MAKE UKICHUKUA MBPS 200 KWA MFANO HAPO 50 NI 4g ALAFU 150 NI 5g SO UTAPOTEZA MBPS 150 ZOTE KWASABABU ASILIMIA KUBWA YA SIMU ZA WATU ZINAKAMA 4G KULIKO 5G SO ITS BETTER UKAWA NA ROUTER NYINGI ZENYE MBPS CHINI NA HAPO AU UKAWA NA FIBER LAKN MBPS ZIWE 50 AU CHINI YA 50.

VIBALI.

Hapa unawez kukata kibali ,leseni kama ukiamua kufanya in large ila kama unafanya kias hakuna noma SEHEMU NZR ZA KUFANYA HII BUSINESS NA USIZINGULIWE MARA NYINGI NI KUWEKEZA VYUON KWASABABU UTATUMIA MGONGO WA CHUO LETS SAY UNAVIFAA VYAKUTOSHA NA MBPS UNAZIGAWANYA KILA SITE INAKUA NA MBPS 50 UNASITE 5 HAPO CHUON ALAFU KUO KINAWANAFUNZ LETS SAY 5000 AU HATA 1000 UNAHAKIKISHA KILA MTU ANAPATA INTERNET PESA HUEZ KOSA AISEE COZ NOW DAYS INTERNET IS NECESSITY HAKUNA ATAEACHA KUNUNUA WEKEZENI VYUONI MTAPIGA PESA KAMA UKIHAKIKISHA HUDUMA INAYOTOLEWA NI NZR PIA UKIWEKEZA HAKIKISHA MTU ANANUNUA BANDO KWAKO AISEE PESA UTAPIGA TU HUDUMA IWE NZR BAS.
CHABGAMOTO.
1 hapa sometimes mtandao unasumbua inawez kutokea mara moja kwa mwez mzm ila hua wanalekebisha unakaa sawa kwa mda mfupi
2 ukiwekez sehem sometimes kuna harckers na mnavyojua harcker hakuna asiloshindwa kweny upande wa mtandao hapo itakubid uweke firewall kali hua zinauzwa hata na tplink cooperation
3 UNAPOFANYA HII BIASHARA ZINGATIA MKUSANYIKO WA WATU yan unapoanza hii biashara hakikisha kuna mkusanyiko wa watu mbali na hivyo utalia kila siku utakuwa unaconect mwenyew mbps 50 zote hahahahahahahahah.



contact 0776371092
HII NI DASHBOARD YA CLIENTS ONLINE
Screenshot 2025-02-27 170044.png
 
WIFI BUSINESS VIA VOUCHER CODE {MICROTIK AND OAMADA SYSTEM NA ZINGINEZO}
hapa tutatumia microtik na omada system at the same time na maana kwamba kuna features kwenye omada hazipo ambazo ni very dangerous sana so ndo maana microtik inatumika lkn pia omada ni simple kwenye kutumia kuliko microtik. omada ia easy management system
VIFAA
1 microtik
2 omada hardware {optional}
3 access point za tplink eap 110,225,610 nk
4 internet wire
6 router au fiber interner na mbps kulingana na wateja utakao kua nao
UMUHIMU WA HII SYSTEM.
1 Utakuwa na uwezo wa kumonitor vifaaa vyako hata kama uko mbali.
2 utakua na uezo wa kuzuia SCANNING na kuzuia watu WASITENGENEZE HOSTPOT pia wateja wote watatumia
-voucher code kuingia kwenye mfumo wako via customized portal ambayo utakua ushaitengeneza.
3 Utakua na uwez wakum control mteja unavyotaka hata kama ukimpangia atumie mb 1 fresh tu au atumie anavyotaka fresh tu
INTERNET SERVICE PROVIDER {ISP}
Isp mzuli ni VODACOM hao wengine siwaamin airtel sometimes wanashusha mbps zao ko unawez kujikuta unaingia hasara kichiz na inadepend ASILIMIA KUBWA YA WATU WENGI SIMU ZAO NI 4g KO ITS BETTER UKACHUKUA MBPS KWANZIA 50 KUSHUKA CHIN YAN NAMAANA KWAMBA NIBETTER UKAWA NA KILA STATION NA ROUTER YAKE ILA PORTAL IKAWA MOJA MAKE UKICHUKUA MBPS 200 KWA MFANO HAPO 50 NI 4g ALAFU 150 NI 5g SO UTAPOTEZA MBPS 150 ZOTE KWASABABU ASILIMIA KUBWA YA CM ZA WATU ZINAKAMA 4G KULIKO 5G SO ITS BETTER UKAWA NA ROUTER NYINGI ZENYE MBPS CHINI NA HAPO AU UKAWA NA FIBER LAKN MBPS ZIWE 50 AU CHINI YA 50.
VIBALI.
Hapa unawez kukata kibali ,leseni kama ukiamua kufanya in large ila kama unafanya kias hakuna noma SEHEMU NZR ZA KUFANYA HII BUSINESS NA USIZINGULIWE MARA NYINGI NI KUWEKEZA VYUON KWASABABU UTATUMIA MGONGO WA CHUO LETS SAY UNAVIFAA VYAKUTOSHA NA MBPS UNAZIGAWANYA KILA SITE INAKUA NA MBPS 50 UNASITE 5 HAPO CHUON ALAFU KUO KINAWANAFUNZ LETS SAY 5000 AU HATA 1000 UNAHAKIKISHA KILA MTU ANAPATA INTERNET PESA HUEZ KOSA AISEE COZ NOW DAYS INTERNET IS NECESSITY HAKUNA ATAEACHA KUNUNUA .
KWA MAWASILIANO :0776371092
 
Elezea kidogo hii Mkuu, huwa unafanyaje?
*Changamoto
*ISP unatumia yupo?
*Taratibu za vibali
WIFI BUSINESS VIA VOUCHER CODE {MICROTIK AND OAMADA SYSTEM NA ZINGINEZO}
hapa tutatumia microtik na omada system at the same time na maana kwamba kuna features kwenye omada hazipo ambazo ni very dangerous sana so ndo maana microtik inatumika lkn pia omada ni simple kwenye kutumia kuliko microtik. omada ia easy management system
VIFAA
1 microtik
2 omada hardware {optional}
3 access point za tplink eap 110,225,610 nk
4 internet wire
6 router au fiber interner na mbps kulingana na wateja utakao kua nao
UMUHIMU WA HII SYSTEM.
1 Utakuwa na uwezo wa kumonitor vifaaa vyako hata kama uko mbali.
2 utakua na uezo wa kuzuia SCANNING na kuzuia watu WASITENGENEZE HOSTPOT pia wateja wote watatumia
-voucher code kuingia kwenye mfumo wako via customized portal ambayo utakua ushaitengeneza.
3 Utakua na uwez wakum control mteja unavyotaka hata kama ukimpangia atumie mb 1 fresh tu au atumie anavyotaka fresh tu
INTERNET SERVICE PROVIDER {ISP}
Isp mzuli ni VODACOM hao wengine siwaamin airtel sometimes wanashusha mbps zao ko unawez kujikuta unaingia hasara kichiz na inadepend ASILIMIA KUBWA YA WATU WENGI SIMU ZAO NI 4g KO ITS BETTER UKACHUKUA MBPS KWANZIA 50 KUSHUKA CHIN YAN NAMAANA KWAMBA NIBETTER UKAWA NA KILA STATION NA ROUTER YAKE ILA PORTAL IKAWA MOJA MAKE UKICHUKUA MBPS 200 KWA MFANO HAPO 50 NI 4g ALAFU 150 NI 5g SO UTAPOTEZA MBPS 150 ZOTE KWASABABU ASILIMIA KUBWA YA CM ZA WATU ZINAKAMA 4G KULIKO 5G SO ITS BETTER UKAWA NA ROUTER NYINGI ZENYE MBPS CHINI NA HAPO AU UKAWA NA FIBER LAKN MBPS ZIWE 50 AU CHINI YA 50.
VIBALI.
Hapa unawez kukata kibali ,leseni kama ukiamua kufanya in large ila kama unafanya kias hakuna noma SEHEMU NZR ZA KUFANYA HII BUSINESS NA USIZINGULIWE MARA NYINGI NI KUWEKEZA VYUON KWASABABU UTATUMIA MGONGO WA CHUO LETS SAY UNAVIFAA VYAKUTOSHA NA MBPS UNAZIGAWANYA KILA SITE INAKUA NA MBPS 50 UNASITE 5 HAPO CHUON ALAFU KUO KINAWANAFUNZ LETS SAY 5000 AU HATA 1000 UNAHAKIKISHA KILA MTU ANAPATA INTERNET PESA HUEZ KOSA AISEE COZ NOW DAYS INTERNET IS NECESSITY HAKUNA ATAEACHA KUNUNUA .
KWA MAWASILIANO :0776371092
 
SIri ya biashara ni biashara kuwa siri. Ingekuwa ni kila kitu waziwazi hv basi cocacola wangeshafilisika walah
 
Kaulize selcom ndio wakanza kufanya hilo wazo na mwisho wa siku waliacha.

Mtaani kwako kuna waelewa wa hiyo huduma ?.

Pili si rahisi kwa kufikiria kama bajeti yako ni ndogo kucover sehemu kubwa.
 
WIFI BUSINESS VIA VOUCHER CODE {MICROTIK AND OAMADA SYSTEM NA ZINGINEZO} SMALL SCALE BUSINESS

hapa tutatumia microtik na omada system at the same time na maana kwamba kuna features kwenye omada hazipo ambazo ni very dangerous sana so ndo maana microtik inatumika lkn pia omada ni simple kwenye kutumia kuliko microtik. omada ia easy management system
VIFAA.
1 microtik {KUZUIA SCANING na {HOTSPOT CREATION}
2 omada hardware {optional}{HAPA UNAEZA KUNUNUA AU KUADOPT NI 13,000/= KWA MWEZ KWA AJILI YAKUTENGENEZA VOUCHER}
3 access point za tplink eap 110,225,610 nk{ INADEPEND UNASITE NGAP}
4 internet wire {HAPA IT DEPENDS NA UMBALI UNAOTAKA KUWEKA HUDUMA ILA TPLINK EAP 225 NDO NZR ZINANGUVU}
6 router{HAPA KAMA UNAHITAJ ROUTER CHUKUA HZ ZA AIRTEL ALAFU FORMAT ZISOME MTANDAO WOWOTE AFU ZITUMIE} au fiber interner na mbps kulingana na wateja utakao kua nao{SITE 5 KILA SITE MBPS 50 KULINGANA NA WINGI WA WATU
7 load balance ER 605 [HII KWAAJILI YAKUBALANCE MBPS KILA ACCESS POINT ZIPATE MBPS KAMA NI 50 MBPS BAS KILA ACCESS POINT ZIWE NA 25 KWA 25}
6 POST {HAPA HII NI CHUMA YA KUSHIKILIA ACCESS POINT}

UMUHIMU WA HII SYSTEM.
1 Utakuwa na uwezo wa kumonitor vifaaa vyako hata kama uko mbali.
2 utakua na uezo wa kuzuia SCANNING na kuzuia watu WASITENGENEZE HOSTPOT pia wateja wote watatumia
-voucher code kuingia kwenye mfumo wako via customized portal ambayo utakua ushaitengeneza.
3 Utakua na uwez wakum control mteja unavyotaka hata kama ukimpangia atumie mb 1 fresh tu au atumie anavyotaka fresh tu

INTERNET SERVICE PROVIDER {ISP}
Isp mzuli ni VODACOM kwa kutumia router via wireiess na TTCL kwa upande wa fiber hao wengine siwaamin airtel sometimes wanashusha mbps zao ko unawez kujikuta unaingia hasara kichiz na inadepend ASILIMIA KUBWA YA WATU WENGI SIMU ZAO NI 4g KO ITS BETTER UKACHUKUA MBPS KWANZIA 50 KUSHUKA CHIN YAN NAMAANA KWAMBA NIBETTER UKAWA NA KILA STATION NA ROUTER YAKE ILA PORTAL IKAWA MOJA {HAPA NA MAANA KWAMBA HATA KAMA MTU ATAHAMA KUTOKA POINT A KUJA B BADO ATAPATA INTERNET YAN MFUMO MZM KAMA WA MINALA HATA KAMA UKIUNGA BANDO MWANZA UKIENDA DAR BADO UNAUWEZ WAKUTUMIA INTERNET} MAKE UKICHUKUA MBPS 200 KWA MFANO HAPO 50 NI 4g ALAFU 150 NI 5g SO UTAPOTEZA MBPS 150 ZOTE KWASABABU ASILIMIA KUBWA YA SIMU ZA WATU ZINAKAMA 4G KULIKO 5G SO ITS BETTER UKAWA NA ROUTER NYINGI ZENYE MBPS CHINI NA HAPO AU UKAWA NA FIBER LAKN MBPS ZIWE 50 AU CHINI YA 50.

VIBALI.

Hapa unawez kukata kibali ,leseni kama ukiamua kufanya in large ila kama unafanya kias hakuna noma SEHEMU NZR ZA KUFANYA HII BUSINESS NA USIZINGULIWE MARA NYINGI NI KUWEKEZA VYUON KWASABABU UTATUMIA MGONGO WA CHUO LETS SAY UNAVIFAA VYAKUTOSHA NA MBPS UNAZIGAWANYA KILA SITE INAKUA NA MBPS 50 UNASITE 5 HAPO CHUON ALAFU KUO KINAWANAFUNZ LETS SAY 5000 AU HATA 1000 UNAHAKIKISHA KILA MTU ANAPATA INTERNET PESA HUEZ KOSA AISEE COZ NOW DAYS INTERNET IS NECESSITY HAKUNA ATAEACHA KUNUNUA WEKEZENI VYUONI MTAPIGA PESA KAMA UKIHAKIKISHA HUDUMA INAYOTOLEWA NI NZR PIA UKIWEKEZA HAKIKISHA MTU ANANUNUA BANDO KWAKO AISEE PESA UTAPIGA TU HUDUMA IWE NZR BAS.
CHABGAMOTO.
1 hapa sometimes mtandao unasumbua inawez kutokea mara moja kwa mwez mzm ila hua wanalekebisha unakaa sawa kwa mda mfupi
2 ukiwekez sehem sometimes kuna harckers na mnavyojua harcker hakuna asiloshindwa kweny upande wa mtandao hapo itakubid uweke firewall kali hua zinauzwa hata na tplink cooperation
3 UNAPOFANYA HII BIASHARA ZINGATIA MKUSANYIKO WA WATU yan unapoanza hii biashara hakikisha kuna mkusanyiko wa watu mbali na hivyo utalia kila siku utakuwa unaconect mwenyew mbps 50 zote hahahahahahahahah.



contact 0776371092
HII NI DASHBOARD YA CLIENTS ONLINE View attachment 3252615
Ngoja nikutafute unipe shule vema
 
Back
Top Bottom