lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
habari wakuu.
najua wengi wenu mpo katika changamoto za kutafakari ni mradi gani wa kuwekeza pesa yako ili iwe katika rotation.
Ila mawazo mengi hupuuzwa labda kwakusosa usimamizi au undani wa Biashara husika(information).
Ila mimi Leo natoa wazo juu ya bishara ya BAJAJI(almaarufu).
hii Biashara inalipa sana na imekuwa moja ya kitega uchumi endapo yafuatayo yatazingatiwa;-
1. Uhitaji wa kutosha(wateja)
2.Service kuzingatiwa kila wiki.
3.Dereva makini.
4.Usimamizi.
Mimi nitaongelea kwa Mbeya ambapo nimekuwa na uzoefu na kusimamia miradi mingi ya watu hasa ya usafiri. Gari za abilia na pia bajaji, hapa BAJAJI zinahudumia sehemu kubwa yenye Barabara ya Lami, hivyo ni nadra sana BAJAJI kukuta imechoka kutokana na ubovu wa barabara japo Huduma kubwa ni kutoa watu katikati ya mji na kupeleka nje ya Mji.
japo mambo ni Mengi ya Kufahamu juu ya hii Biashara,nitayajibu kwa maswali.
Ila Nina kila SABABU kuwakaribisha ndugu zangu wa mikoa yote kuwekeza juu ya Biashara hii hapa Jijini Mbeya,hata wale waliozifanya BAJAJI zao katika Huduma za usafirishaji wa kidigital nashauri
wahamie na upande huu,kwani huko watachelewa kurudisha pesa zao..
Usihofu kuhusu USIMAMIZI kwani ni moja pia ya sababu ya kuanzisha mjadala huu.haya huwa makubaliano yangu pamoja na mmiliki wa chombo.
Karibuni sana tena sana kwa fursa na maswali.
najua wengi wenu mpo katika changamoto za kutafakari ni mradi gani wa kuwekeza pesa yako ili iwe katika rotation.
Ila mawazo mengi hupuuzwa labda kwakusosa usimamizi au undani wa Biashara husika(information).
Ila mimi Leo natoa wazo juu ya bishara ya BAJAJI(almaarufu).
hii Biashara inalipa sana na imekuwa moja ya kitega uchumi endapo yafuatayo yatazingatiwa;-
1. Uhitaji wa kutosha(wateja)
2.Service kuzingatiwa kila wiki.
3.Dereva makini.
4.Usimamizi.
Mimi nitaongelea kwa Mbeya ambapo nimekuwa na uzoefu na kusimamia miradi mingi ya watu hasa ya usafiri. Gari za abilia na pia bajaji, hapa BAJAJI zinahudumia sehemu kubwa yenye Barabara ya Lami, hivyo ni nadra sana BAJAJI kukuta imechoka kutokana na ubovu wa barabara japo Huduma kubwa ni kutoa watu katikati ya mji na kupeleka nje ya Mji.
japo mambo ni Mengi ya Kufahamu juu ya hii Biashara,nitayajibu kwa maswali.
Ila Nina kila SABABU kuwakaribisha ndugu zangu wa mikoa yote kuwekeza juu ya Biashara hii hapa Jijini Mbeya,hata wale waliozifanya BAJAJI zao katika Huduma za usafirishaji wa kidigital nashauri
wahamie na upande huu,kwani huko watachelewa kurudisha pesa zao..
Usihofu kuhusu USIMAMIZI kwani ni moja pia ya sababu ya kuanzisha mjadala huu.haya huwa makubaliano yangu pamoja na mmiliki wa chombo.
Karibuni sana tena sana kwa fursa na maswali.