kiraremapojoni
JF-Expert Member
- Nov 30, 2018
- 391
- 512
Habari wana kijiwe? kutokana na ugumu wa maisha kwa awamu hii yatano na nina vijiakiba vyangu nimeonelea kuanzisha biashara angalau nipambanae na hali yangu. Inafahamika kama biashara zimekuwa ngumu sana kiasi ambacho watu tumekuwa tukikatishana tamaa ya kufanya biashara kwani tunaamini kama hazilipi kama ilivyokuwa zamani
Wazo langu hasa ni kufungua kampuni ambayo itakuwa inatoa huduma ya kitalii mkoani, kwa maana ya kupokea wageni na kuwatembeza kama ambavyo ratiba zao wamepanga katika tariba zao na ikiwa kuna uwezekano pia kuwaandalia malazi na chai ya asubuhi .
Na mkoa hasa ambao ninafikiria kufanya hii biashara ni Tanga nikijiaminisha kama mapango ya Amboni, Tongoni Ruins, Magoroto, Pangami, Lushoto na sehemu nyengine ambazo tutakuwa tunaziona kaam zitafaa kwa ajili ya kutembelewa na wageni
Kwa wale ambao wana uelewa kidogo naomba mwongozo wa wapi pa kuanzia ili niweze kufanikisha azma yangu
Kwa pamoja Tunaweza
Wazo langu hasa ni kufungua kampuni ambayo itakuwa inatoa huduma ya kitalii mkoani, kwa maana ya kupokea wageni na kuwatembeza kama ambavyo ratiba zao wamepanga katika tariba zao na ikiwa kuna uwezekano pia kuwaandalia malazi na chai ya asubuhi .
Na mkoa hasa ambao ninafikiria kufanya hii biashara ni Tanga nikijiaminisha kama mapango ya Amboni, Tongoni Ruins, Magoroto, Pangami, Lushoto na sehemu nyengine ambazo tutakuwa tunaziona kaam zitafaa kwa ajili ya kutembelewa na wageni
Kwa wale ambao wana uelewa kidogo naomba mwongozo wa wapi pa kuanzia ili niweze kufanikisha azma yangu
Kwa pamoja Tunaweza