Wazo la biashara

Wazo la biashara

Side buggati

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2015
Posts
232
Reaction score
182
Wana jf natumain wote ni wazima mimi nina langu leo nataka ushaur wa kufikilika nina mill5 nataka nianzishe biashara na biashara ya kwanza nmeifikilia n kununua bajaji na kuwa dereva mwenye lakin mill5 haitosh bajaj inaenda kwnye Mill8 na nusu ukikatia vibali lesen na bima itaenda mpka kwenye 9 wap ntapata dhamana ya mkopo au nipewe bajaji kw mill5 alafu hyo 4 ngarejesha taratibu mpaka deni lao liishe
 
Maendeleo Bank
Crdb bank..

Wanatoa mikopo ya bajaji.. mfano Kama unahitaji bajaji unatoa 25milion ambayo Ni asilimia ishirini ya Bajaj ya 7na laki 8 ya bajaj... Utarejesha ndani ya miezi kumi na name....

Zingatia... Bajaji Bora uendeshe mwenyewe au Toa mkataba Kama una vijana kwa 5 milioni utachukua bajaji mbili.... Mimi pia naomba niwe sehemu ya hiyo bajaji... Ntarejesha milioni mbili na nusu ndani ya miezi minne..

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Juma ebu toa ufafanuz vizur umesema nitatoa million 25 alafu watatoa asilimia 20 ya bajaj yko ukasema lak7 na 8 alafu ukasema katika hyo million 5 napata bajaji2 sijakuelewa
 
Sawa Ni hivi.
Crdb na maendeleo Bank wanatoa mikopo ya Bajaj...
Sasa ili upate mkopo unatakiwa kutoa asilimia ishirini ya Bajaj ambayo Ni milioni mbili na laki Tano ukijumlisha na bima kubwa na GpRC.. kwaiyo hiyo pesa utarejesha ndani ya miezi kumi na nane.. ambapo Deni lako litakuwa Ni laki Tano...

Kama ujenielewa nipigie 0784312904
Nikuelekeze kwa undani tusaidiane Kaka.

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
daah milioni tano, baba hyo hela kama hujakopa usiende kukopa fikiria biashara ikupe hela biashara za rejareja zipo nyingi sana. pigisha kicha hiko
Tofautisha huduma na bidhaa, usafiri Ni huduma ambayo binadamu asilimia 75 lazima watu watumie, so pocbility ya kurudisha Ni kubwa.. biashara hasa ya uchuuzi.. kwa milioni Tano lazima utaangukia pua Labda Kama una uzoefu wa hiyo biashara. .


Shida sio kuchukua mkopo, shida huo mkopo unaenda kufanyia Nini...

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Juma ebu toa ufafanuz vizur umesema nitatoa million 25 alafu watatoa asilimia 20 ya bajaj yko ukasema lak7 na 8 alafu ukasema katika hyo million 5 napata bajaji2 sijakuelewa
Nahisi alimaanisha 2.5m
 
Tofautisha huduma na bidhaa, usafiri Ni huduma ambayo binadamu asilimia 75 lazima watu watumie, so pocbility ya kurudisha Ni kubwa.. biashara hasa ya uchuuzi.. kwa milioni Tano lazima utaangukia pua Labda Kama una uzoefu wa hiyo biashara. .


Shida sio kuchukua mkopo, shida huo mkopo unaenda kufanyia Nini...

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Juma wewe ni dalali asilimia mia
 
Maendeleo Bank
Crdb bank..

Wanatoa mikopo ya bajaji.. mfano Kama unahitaji bajaji unatoa 25milion ambayo Ni asilimia ishirini ya Bajaj ya 7na laki 8 ya bajaj... Utarejesha ndani ya miezi kumi na name....

Zingatia... Bajaji Bora uendeshe mwenyewe au Toa mkataba Kama una vijana kwa 5 milioni utachukua bajaji mbili.... Mimi pia naomba niwe sehemu ya hiyo bajaji... Ntarejesha milioni mbili na nusu ndani ya miezi minne..

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Unarejesha sh ngapi kwa mwezi ndani ya hiyo miezi 18?
 
Maendeleo Bank
Crdb bank..

Wanatoa mikopo ya bajaji.. mfano Kama unahitaji bajaji unatoa 25milion ambayo Ni asilimia ishirini ya Bajaj ya 7na laki 8 ya bajaj... Utarejesha ndani ya miezi kumi na name....

Zingatia... Bajaji Bora uendeshe mwenyewe au Toa mkataba Kama una vijana kwa 5 milioni utachukua bajaji mbili.... Mimi pia naomba niwe sehemu ya hiyo bajaji... Ntarejesha milioni mbili na nusu ndani ya miezi minne..

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Million 25 au naona vibaya? 25 million ni asilimia ishirini, Je mia itakuwa shilingi ngapi, si bei ya coaster.
 
Back
Top Bottom