Weka namba yako ya simu, nikupigie nikupe wazo bora sn.
Fungua bucha la kitimoto kama wewe ni mgalatia.
Weka fixed account ya miezi tatu ktk crdb au dcb. Au katafute bidhaa nafaka eg mchele then mwezi wa tatu na kuendelea utauza bei nzuri,au kopesha biashara ya mtu kwa riba ya alfu 30 kwa kila laki moja kwa mwezi na ufanye miezi mitatu. Ni pm
Hizo nafaka unazitunzia wapi. Assuming mtu amepanga chumba na sebule au chumba kimoja tu.Weka fixed account ya miezi tatu ktk crdb au dcb. Au katafute bidhaa nafaka eg mchele then mwezi wa tatu na kuendelea utauza bei nzuri,au kopesha biashara ya mtu kwa riba ya alfu 30 kwa kila laki moja kwa mwezi na ufanye miezi mitatu. Ni pm