Wazo la hekima la Mr. Manguruwe kwa Simba Sports Club lifanyiwe kazi

Wazo la hekima la Mr. Manguruwe kwa Simba Sports Club lifanyiwe kazi

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Kwa heshima na taadhima, ndugu zangu Makolo,

Nakuja hapa kuwashauri mlifanyie kazi wazo la hekima la Mr. Manguruwe

Huyu shabiki wenu, ametoa offer ya kuweka mzigo pale Msimbazi ili timu iweze kuwa na ukwasi, sharti lake yeye ni dogo tu, kuifanya timu kuwa public listed company

Pendekezo lake ni kwamba timu iitwe SIMBA MANGURUWE PLC

Mimi naafiki S.Manguruwe PLC Sport Club itafanya vizuri zaidi na kuleta ushindani kwa Young Africans Sports Club

Nitaleta video ya Mr. Manguruwe kwa uraisi wa rejea
 
Kwa heshima na taadhima, ndugu zangu Makolo,

Nakuja hapa kuwashauri mlifanyie kazi wazo la hekima la Mr. Manguruwe

Huyu shabiki wenu, ametoa offer ya kuweka mzigo pale Msimbazi ili timu iweze kuwa na ukwasi, sharti lake yeye ni dogo tu, kuifanya timu kuwa public listed company

Pendekezo lake ni kwamba timu iitwe SIMBA MANGURUWE PLC

Mimi naafiki S.Manguruwe PLC Sport Club itafanya vizuri zaidi na kuleta ushindani kwa Young Africans Sports Club

Nitaleta video ya Mr. Manguruwe kwa uraisi wa rejea
Unaweza ukawa na wazo zuri ila uwasilishaji ukasababisha upopolewe na nazi mbovu.
 
Back
Top Bottom