Wazo la kibiashara

Lazarius Son

Member
Joined
Mar 14, 2017
Posts
17
Reaction score
6
Nahitaji msaada wa mawazo juu ya wazo la uanzishaji wa biashara ya duka la kuuza na kukodisha CD ikiwepo na tigo pesa lakini kuna jengo ambalo ni sehemu nzuri kufungua kitu kama shule ya watoto wadogo na tuition pia.

Nahitaji msaada wa mawazo maana kushika mbili nisije shindwa zote.
 
Kwa kiasi gani cha mtaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…