bunyebunye
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 530
- 676
Heshima kwenu wakuu!
Nina idea ya kufungua kampuni ambayo itakua ikifanya kazi Tanzania kote ambapo kilimo kinafanyika.
Tatizo linalonikabili ni kukosa pesa, hivyo nakuja mbele yenu kuleta wazo hili ili kama kuna mtu atakayekua yupo tayari tuungane kwa makubaliano ya asilimia katika umiliki wa kampuni hiyo.
Nashindwa kuliweka wazi wazo lenyewe kutokana na kutokua na haki milki ( copyright) ya wazo lenyewe, kwa aliye tayari anaweza kiuni PM au kuwasiliana nami kwa simu 0679308885.
Napatikana Tegeta jijini Dar.
Asanteni na karibuni tulijenge taifa.
Nawasilisha.
Nina idea ya kufungua kampuni ambayo itakua ikifanya kazi Tanzania kote ambapo kilimo kinafanyika.
Tatizo linalonikabili ni kukosa pesa, hivyo nakuja mbele yenu kuleta wazo hili ili kama kuna mtu atakayekua yupo tayari tuungane kwa makubaliano ya asilimia katika umiliki wa kampuni hiyo.
Nashindwa kuliweka wazi wazo lenyewe kutokana na kutokua na haki milki ( copyright) ya wazo lenyewe, kwa aliye tayari anaweza kiuni PM au kuwasiliana nami kwa simu 0679308885.
Napatikana Tegeta jijini Dar.
Asanteni na karibuni tulijenge taifa.
Nawasilisha.