Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Nimependa hilo swali namba 2!Tuanze na wewe hapa
1) Tueleze kwny Katiba ya sasa ni jambo gani haliwezi kuboreshwa kwa kuingiza mambo mapya kwa njia ya ammendments hadi tulazimike kuwa na katiba mpya?
2) Kazi ya Bunge la Katiba kwny rasimu ya Warioba ni ipi?
3) Msimamo wa wenu ni upi mchakato kuanza upya au kuendelea ulipoishia kwny rasimu au kwny kura ya maoni?
Mkuu, hivi unataka watu waandamane au wafanye nini ndiyo ujue kuwa wanahitaji katiba mpya. Kigezo cha kujua hitaji la Watanzania ni nini hasa? Maana hata kwenye maji, Umeme na madarasa hatujawahi kusikia watanzania wote wakilalamika.Wenye kuhitaji Katiba Mpya ni wachache sana sema tu wana kelele nyingi sana kwny mitandao
Ukizima data halafu ukapita pita mitaani na kwny Vijiwe huwezi kusikia hizo kelele za Katiba mpya...
Swala la nchi kua na katiba bora wala haliitaji sana kelele au maneno mengi maana mwenendo wa nchi unajieleza.Sasa inashangaza wewe unataka kila mwananchi azungumze katiba mpya uko mtaani kitu ambacho hakimake sense.Wenye kuhitaji Katiba Mpya ni wachache sana sema tu wana kelele nyingi sana kwny mitandao
Ukizima data halafu ukapita pita mitaani na kwny Vijiwe huwezi kusikia hizo kelele za Katiba mpya...
Bwashee natoa tu angalizo kwamba tukimwachia Mbowe hatutafika popote!Lini Mbowe amesema kuwa amejipa uongozi wa hayo mapambano dhidi ya katiba mpya?
Mfano wewe johnthebaptist ukiwa ubanda pale mitaa yako ya Ipogoro unakunywa ulanzi na wenzako na ikatokea ukaanza kuainisha umuhimu wa katiba mpya, inamaana utakuwa umefanya hiyo kwa nia ya kujipachika nafasi ya uongozi juu mapambano ya kudai katiba mpya?
Kwanini umuachie Mbowe wakati hili ni jambo la kila mmoja wetu,?Bwashee natoa tu angalizo kwamba tukimwachia Mbowe hatutafika popote!
Kwahiyo Mbowe ataleta rasimu bora kuliko ya Warioba?Kwanini umuachie Mbowe wakati hili ni jambo la kila mmoja wetu,?
Mzee Mgaya akikuwashia Wifi ukasikilize shule ya katiba ya Jenerali Ulimwengu alitoa jana Club House.
Aliishia kwenye rasimu.Mvungi aliishiwa wapi? Tuambie!
Mbowe alipewa kesi ya 'mchongo' ya ugaidi
Ni ujinga wa hali ya juu kusema hayo na ni dharau kwa Watanzania pia. Watanzania walipendekeza wawe na katiba mpya kwenye Tume za Nyalali na Kisanga ... well before ya Dr. Mvungi na Kikwete wake kama ni kweli.Rais wa awamu ya 4 mzee Kikwete alisema ni Dr Sengodo Mvungi ndiye aliyemshawishi hadi akaanzisha mchakato wa Katiba mpya kwa kuunda Tume ya Warioba.
Kikwete alisema Dr Mvungi alikuwa anapiga kambi hotelini kule Bagamoyo akifanya michakato ya namna ya kuipata katiba mpya itakayowainua Watanzania.
Naye, mzee Warioba alisema Dr Mvungi alikuwa ndio Injini ya Tume ya Katiba kwani alijitoa kwa 100% kuifanya kazi hiyo.
Sasa, tujiulize Mbowe au Zitto Kabwe wana uthubutu huo wa kuachilia fursa zote ili kuongoza Mapambano ya kudai Katiba mpya?
Maendeleo hayana vyama!
Mbona alivyokufa na katiba yenyewe imekufa?!!Ni ujinga wa hali ya juu kusema hayo na ni dharau kwa Watanzania pia. Watanzania walipendekeza wawe na katiba mpya kwenye Tume za Nyalali na Kisanga ... well before ya Dr. Mvungi na Kikwete wake kama ni kweli.
Kama wewe hutaki katiba mpya talk for yourself. Lakini usiwasemee Watanzania wote. Yaani Kikwete akubali kufanya maamuzi kama hayo kwa sababu ya mtu moja. Seriusly...!? Dr. Mvungi hakuwa na ushawishi mkubwa kiasi hicho .... Tusidanganyane.
You must be kidding me ..... sasa akina Mbowe wanadai nini kama imekufa!!?Mbona alivyokufa na katiba yenyewe imekufa?!!
Utasubiri sana.