Wazo la kufungua Computer learning center

Wazo la kufungua Computer learning center

Joel Suta

Member
Joined
Jan 3, 2016
Posts
38
Reaction score
15
Napenda kufungua center itakayokuwa inatoa mafunzo ya computer kwa wanafunzi wanaohitimu elimu ya kidato Cha nne pamoja na wadau wengine

Naomba mwongozo wenu juu ya wazo hili au anaejua changamoto Zake anijuze tafadhari

Nakaribisha mawazo
 
Napenda kufungua center itakayokuwa inatoa mafunzo ya computer kwa wanafunzi wanaohitimu elimu ya kidato Cha nne pamoja na wadau wengine

Naomba mwongozo wenu juu ya wazo hili au anaejua changamoto Zake anijuze tafadhari

Nakaribisha mawazo
Kila lakheri
 
Kila la HERI mkubwa ukifika wakati ukihitaji computer niona, nina mzigo wa computer dell AIO,nzuri sana kwa darasa, bado uko majini ziko zaidi ya 14. inbox if you are seriously guy
 
Napenda kufungua center itakayokuwa inatoa mafunzo ya computer kwa wanafunzi wanaohitimu elimu ya kidato Cha nne pamoja na wadau wengine

Naomba mwongozo wenu juu ya wazo hili au anaejua changamoto Zake anijuze tafadhari

Nakaribisha mawazo
Ninamashaka km unauelwa na unachotaka kufanya, sabab kuu ni moja unafundishaje computer sasa? Computer ni pana sana ww unataka kufundisha programs zipi? Halaf cmptr ckuiz hasa kwa mijini ziko majumban watu wanaanza kuzitumia tangu wakiwa wadogo sasa ww unataka kuwafundisha nn? Kuwasha na kuzima? Yan unachotaka kufanya ni sawa na mtu kufungua chuo cha kufundisha watu kutumia smartphone.
 
Jaribu kuongeza ubunifu tu mkuu,angalia program za muhimu na ambazo ni ngumu mtu kujifunza mwenyewe bila kuwa na basics , angalia na mazingira pia kwakuwa sasahivi kutokana na utandawazi wengi wanaujuzi huo.
Ila usiache kufanya unachokiamini kwakuwa naamini utakifanya vizuri zaidi ya inavyotarajiwa.
 
Ninamashaka km unauelwa na unachotaka kufanya, sabab kuu ni moja unafundishaje computer sasa? Computer ni pana sana ww unataka kufundisha programs zipi? Halaf cmptr ckuiz hasa kwa mijini ziko majumban watu wanaanza kuzitumia tangu wakiwa wadogo sasa ww unataka kuwafundisha nn? Kuwasha na kuzima? Yan unachotaka kufanya ni sawa na mtu kufungua chuo cha kufundisha watu kutumia smartphone.
Thanks bro , n kweli but maranyingi huduma huanzishwa na soko litanipa mwelekeo..........basic progam nlizotaget n Graphics & design na maintanance etc
 
Jaribu kuongeza ubunifu tu mkuu,angalia program za muhimu na ambazo ni ngumu mtu kujifunza mwenyewe bila kuwa na basics , angalia na mazingira pia kwakuwa sasahivi kutokana na utandawazi wengi wanaujuzi huo.
Ila usiache kufanya unachokiamini kwakuwa naamini utakifanya vizuri zaidi ya in
Thanks bro .........
 
Thanks bro , n kweli but maranyingi huduma huanzishwa na soko litanipa mwelekeo..........basic progam nlizotaget n Graphics & design na maintanance etc
Kama unayo solid plan ya kupata wateja bas sawa lakin competitor mkubwa kwako ninaye muona ni INTERNET sabab kuna online courses nyingi sana ambazo mtu anaweza kusomea hizo programs unazosema. Binafsi nikisiaga mtu anaenda 'kusomea' compter hua na mashaka kua kama anaelewa fika anachotaka kufanya. To be honest hz biashara zlikua HOT miaka 10 iliopta kwa sasa demand sidhani kama ipo juu kihivyo (Labda location uliopo kama iko favorable) kozi zlizobaki kwny computer ambazo kweli ambazo mtu unaweza sema atasomea labda ni kwa upande wa hardware I mean computer maintanance.

Au kwa ushauri mwingine wa dharura weka courses za computer maintanance and phone repair.
 
computer watu wanajua bila kufundishwa

Sio wote, inategemea unaongelea Computer kwa upande upi, kufungua email, kuandika kwa word, excel, access, graphic design, networking, web design, programming, database, hardware troubleshooting and repair etc

Pia mtu akisoma akapata cheti ni ushahidi kwamba ana ujuzi au uelewa wa hicho kitu.

Mwisho wa siku, inategemea na malengo na mahitaji ya mhusika.
 
Jaribu kuongeza ubunifu tu mkuu,angalia program za muhimu na ambazo ni ngumu mtu kujifunza mwenyewe bila kuwa na basics , angalia na mazingira pia kwakuwa sasahivi kutokana na utandawazi wengi wanaujuzi huo.
Ila usiache kufanya unachokiamini kwakuwa naamini utakifanya vizuri zaidi ya inavyotarajiwa.
Atawafundisha forex
 
Ninamashaka km unauelwa na unachotaka kufanya, sabab kuu ni moja unafundishaje computer sasa? Computer ni pana sana ww unataka kufundisha programs zipi? Halaf cmptr ckuiz hasa kwa mijini ziko majumban watu wanaanza kuzitumia tangu wakiwa wadogo sasa ww unataka kuwafundisha nn? Kuwasha na kuzima? Yan unachotaka kufanya ni sawa na mtu kufungua chuo cha kufundisha watu kutumia smartphone.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom