Wazo la mtu lina weza kupewa haki miliki?

Wazo la mtu lina weza kupewa haki miliki?

Domenia

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
462
Reaction score
23
Nafikiri watu wana weza kunisaidia niweze kujua hivi inawezekana ?
tafadahali hebu click hapa
 
Last edited:
Usiwe na shaka
Idea inaweza kupewa haki miliki. Wapigie COSOTA au tembelea COSOTA utapata anuani zao na kama upo Tanzania watembelee watakuelewesha kwa kina na namna ya kusajili ideas zako mkuu. Wahi kabla jioni haijakufikia maana kuna watu wapo sharp kuiba mawazo ktk jamii utadhani wamezaliwa china vile.
 
nashukuru msanii....nimesha fuatilia...
 
Back
Top Bottom