Habarini wana jf!
Wana bodi ninaomba ushauri wa kitaalamu wa ujasiliamali na biashara kwenu, ipo hivi jamaa yangu wa karibu sana anamtaji wa milion 6 anaishi morogoro na dhumun la kuleta hii hoja hapa n kupata ushauri wa biashara gani afanye kwa mtaji wake na kwa mazingira ya morogoro!
Ahsanten sana!