Wazo makini la biashara nahitaji partiner mwenye 3-4 Mills za Tz

Wazo makini la biashara nahitaji partiner mwenye 3-4 Mills za Tz

mayome

Member
Joined
Jan 17, 2012
Posts
62
Reaction score
21
Habarini wote muliopata hamasa kusoma nilichoandika.


Mimi niko na biasha fulani ambayo kwa sasa ipo vizur kwa kiasi. ila nataka kuanzisha line nyingine ya biashara ila swala lamtaji linanirudisha nyuma. kwaufupi maelezo ni haya hapa

1. aina ya biashara tarajiwa ni BUTCHERY SHOP
2. Eneo ni MBEYA TOWN
3. Kiasi unachokutajika kua nacho ni TZS.3 to 4 mills, unaetaka kushiriki unaweza kuwekeza zaidi ya hapo nafasi ipo na kuna mpango wa biashara wenye dhamani yamillioni za kitazania 68.
4. Anahitajika mtummoja tu atakayeweza changia kiasi hicho
4. ukiwa mbeya ni vizuri ila hata ukiwa kwingineko tanzania itafaa
5. Mimi naweza kua msimamizi mkuu wa biashara kama wewe hutakua nauwezo
6. Kama unaweza kukopa kwingineko pia itakua sawa na mkopo huo tutaurejesha ndani ya miezi 5 tangu biashara kuanza
7. kwa MAELEZO MENGINE wasilianana mimi kwa PMs, Email: semkiwa@gmail.com au kwa simu No. 0712244831
8. Biashara inatakiwa kuanza kati ya tar 01 na 11 mwezi wa 5 mwaka 2013
9. Mwisho wa kutuma maombi au maulizo yoyote ni tarehe 10/05/2013

Ahsanteni wote mliochukua jukumu la kusoma nilicho andika
 
Habarini wote muliopata hamasa kusoma nilichoandika.


Mimi niko na biasha fulani ambayo kwa sasa ipo vizur kwa kiasi. ila nataka kuanzisha line nyingine ya biashara ila swala lamtaji linanirudisha nyuma. kwaufupi maelezo ni haya hapa

1. aina ya biashara tarajiwa ni UTCHERY SHOP
2. Eneo ni MBEYA TOWN
3. Kiasi unachokutajika kua nacho ni TZS.3 to 4 mills, unaetaka kushiriki unaweza kuwekeza zaidi ya hapo nafasi ipo na kuna mpango wa biashara wenye dhamani yamillioni za kitazania 68.
4. Anahitajika mtummoja tu atakayeweza changia kiasi hicho
4. ukiwa mbeya ni vizuri ila hata ukiwa kwingineko tanzania itafaa
5. Mimi naweza kua msimamizi mkuu wa biashara kama wewe hutakua nauwezo
6. Kama unaweza kukopa kwingineko pia itakua sawa na mkopo huo tutaurejesha ndani ya miezi 5 tangu biashara kuanza
7. kwa MAELEZO MENGINE wasilianana mimi kwa PMs, Email: semkiwa@gmail.com au kwa simu No. 0712244831
8. Biashara inatakiwa kuanza kati ya tar 01 na 11 mwezi wa 5 mwaka 2013
9. Mwisho wa kutuma maombi au maulizo yoyote ni tarehe 10/05/2013

Ahsanteni wote mliochukua jukumu la kusoma nilicho andika

Mkuu, sijaelewa vizuri hapo kwenye nyekundu, fafanua ili tuweze kuwasiliana kujua wigo wa faida na hasara kama vipi tuunganishe nguvu!
 
Mkuu, sijaelewa vizuri hapo kwenye nyekundu, fafanua ili tuweze kuwasiliana kujua wigo wa faida na hasara kama vipi tuunganishe nguvu!

nimesha rekebisha kiongozi nlimaanisha BUCHARY SHOP tena ya nyama ya nyama ya ng'ombe pekee! asante kwa kuona makosa ya uandishi
 
Back
Top Bottom