mayome
Member
- Jan 17, 2012
- 62
- 21
Habarini wote muliopata hamasa kusoma nilichoandika.
Mimi niko na biasha fulani ambayo kwa sasa ipo vizur kwa kiasi. ila nataka kuanzisha line nyingine ya biashara ila swala lamtaji linanirudisha nyuma. kwaufupi maelezo ni haya hapa
1. aina ya biashara tarajiwa ni BUTCHERY SHOP
2. Eneo ni MBEYA TOWN
3. Kiasi unachokutajika kua nacho ni TZS.3 to 4 mills, unaetaka kushiriki unaweza kuwekeza zaidi ya hapo nafasi ipo na kuna mpango wa biashara wenye dhamani yamillioni za kitazania 68.
4. Anahitajika mtummoja tu atakayeweza changia kiasi hicho
4. ukiwa mbeya ni vizuri ila hata ukiwa kwingineko tanzania itafaa
5. Mimi naweza kua msimamizi mkuu wa biashara kama wewe hutakua nauwezo
6. Kama unaweza kukopa kwingineko pia itakua sawa na mkopo huo tutaurejesha ndani ya miezi 5 tangu biashara kuanza
7. kwa MAELEZO MENGINE wasilianana mimi kwa PMs, Email: semkiwa@gmail.com au kwa simu No. 0712244831
8. Biashara inatakiwa kuanza kati ya tar 01 na 11 mwezi wa 5 mwaka 2013
9. Mwisho wa kutuma maombi au maulizo yoyote ni tarehe 10/05/2013
Ahsanteni wote mliochukua jukumu la kusoma nilicho andika
Mimi niko na biasha fulani ambayo kwa sasa ipo vizur kwa kiasi. ila nataka kuanzisha line nyingine ya biashara ila swala lamtaji linanirudisha nyuma. kwaufupi maelezo ni haya hapa
1. aina ya biashara tarajiwa ni BUTCHERY SHOP
2. Eneo ni MBEYA TOWN
3. Kiasi unachokutajika kua nacho ni TZS.3 to 4 mills, unaetaka kushiriki unaweza kuwekeza zaidi ya hapo nafasi ipo na kuna mpango wa biashara wenye dhamani yamillioni za kitazania 68.
4. Anahitajika mtummoja tu atakayeweza changia kiasi hicho
4. ukiwa mbeya ni vizuri ila hata ukiwa kwingineko tanzania itafaa
5. Mimi naweza kua msimamizi mkuu wa biashara kama wewe hutakua nauwezo
6. Kama unaweza kukopa kwingineko pia itakua sawa na mkopo huo tutaurejesha ndani ya miezi 5 tangu biashara kuanza
7. kwa MAELEZO MENGINE wasilianana mimi kwa PMs, Email: semkiwa@gmail.com au kwa simu No. 0712244831
8. Biashara inatakiwa kuanza kati ya tar 01 na 11 mwezi wa 5 mwaka 2013
9. Mwisho wa kutuma maombi au maulizo yoyote ni tarehe 10/05/2013
Ahsanteni wote mliochukua jukumu la kusoma nilicho andika