Nna mifursa kibao... Nenda mererani fuatilia ishu ya ununuzi wa tanzanite then confirm na watu wa South Africa na India ukijua actual price ya huko nunua huku kwa Bei Chee... Utapata Gram chache ambazo zinaweza kukaa vizuri tu chini ya kiatu chako hakikisha unaruka viunzi vya Gavoo.. Nenda nazo India au South Africa kapige hela.
Kwa million 15 unaweza hata kudouble mtaji wako ukiwapata right dealers with good price.
Thank me later.