kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 735
anayelala ni bharesa na mengi peke yao,mim na wew tunajiegesha tu kwa lengo la usiku upite tu,tunashida kibaooo,stress kibaooo.hahahahHaulali?
haha hii imenichomaanayelala ni bharesa na mengi peke yao,mim na wew tunajiegesha tu kwa lengo la usiku upite tu,tunashida kibaooo,stress kibaooo.hahahah
utakuwa unanunua na kuexport nje?Ni wakati sasa wa kusafiri pamoja kuufikia uchumi wa kati, kila mwana jf atupie wazo lake analoamini linaweza kumtoa katika hali ya sasa na kumfikisha kwenye uchumi mkubwa. Kwa wale wenye Business plan washee nasi pia tuianze safari yetu sasa
Mimi binafsi nipo kwenye mchakato wa kutafuta mtaji kuanzisha kampuni yangu ya uuzazi mazao ya shambani.
Karibuni