Wazo Tata: Machinga Comlex ibadlishwe matumizi!

Wazo Tata: Machinga Comlex ibadlishwe matumizi!

Truth Matters

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
2,302
Reaction score
4,603
Ndugu,
Kila nikipita eneo la Mchikichini na kuona hali ya jengo la Machinga complex napata shida sana kuamini.
Ukiondoa siasa, ni kweli lile jengo lina-generate pesa kufidia investment iliyofanywa?

Maamuzi mengi ya kukidhi matakwa ya kisiasa yameangamiza uchumi wa taifa letu. Mfano, Kumbuka wakati wa Mwalimu, alijenga kiwanda cha kukata almasi Iringa, ilhali almasi yenyewe ilikuwa inatoka kanda ya ziwa!

Kwanini tusibadlishe matumizi ya lile jengo na kuwaondoa wafanyabiashara wadogo wadogo (wamachinga) na kuweka shopping complex kubwa kama za Mlimani City au Quality centre?

In nature biashara ya umachinga (hawking) haitakiwi kuwa na kikao kimoja, lazima wawe wanatembea tembea , ( nasikia neno machinga linanatokana na 'marching guy')! kwahiyo kuwaambia wakae sehemu moja static huwatendei haki.

Serikali itafute, namna nyingine ya ku-deal na issue ya Wamachinga!
 
nadhani wangefanya iwe makazi ingeingiza hela kuliko kuwa machinga complex.
 
ingeweza kuwa branch ya Muhimbili National hospital
 
Waweke restaurant,maduka,...watarudisha pesa zao!
 
Mimi napendekeza iwe Makahaba complex..yaani wale wahaya wa uwanja wa fisi, buguruni na kwengine..wahamie pale...wakatiwe leseni wafanye biashara iwe rasmi...after 3 month hiyo profit ita double investment cost...i swear..
 
Back
Top Bottom