Wazo Zuri la Biashara changamkieni Fursa Hii....

Wazo Zuri la Biashara changamkieni Fursa Hii....

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Kuna wazo moja niko nalo kichwani hapa la majani ya chai/kahawa spesho kwa wanaume kwamba inaongeza nguvu za kiume unachanganya na congo dust kimtindo unapitisha tbs na TFDA kutest ubora.....ikipitishwa na watu wakatumia wakaona + impact hakika nakuambia utakuwa zaidi ya Dangote utajiri huo

unaweza ukadharau kwa vile unaona hii idea imekaa kimzaha flani hivi but ni very potential....
 
Kuna wazo moja niko nalo kichwani hapa la majani ya chai/kahawa spesho kwa wanaume kwamba inaongeza nguvu za kiume unachanganya na congo dust kimtindo unapitisha tbs na TFDA kutest ubora.....ikipitishwa na watu wakatumia wakaona + impact hakika nakuambia utakuwa zaidi ya Dangote utajiri huo

unaweza ukadharau kwa vile unaona hii idea imekaa kimzaha flani hivi but ni very potential....
Sasa wew unashindwa nini kuifanya Mkuu ?
 
We unatumiaga hiyo congo dust mi naijua inaitwa Kasongo
 
Back
Top Bottom