Wazo Zuri la Biashara changamkieni Fursa Hii....

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Kuna wazo moja niko nalo kichwani hapa la majani ya chai/kahawa spesho kwa wanaume kwamba inaongeza nguvu za kiume unachanganya na congo dust kimtindo unapitisha tbs na TFDA kutest ubora.....ikipitishwa na watu wakatumia wakaona + impact hakika nakuambia utakuwa zaidi ya Dangote utajiri huo

unaweza ukadharau kwa vile unaona hii idea imekaa kimzaha flani hivi but ni very potential....
 
Sasa wew unashindwa nini kuifanya Mkuu ?
 
We unatumiaga hiyo congo dust mi naijua inaitwa Kasongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…