tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
Ni mara yangu ya kwanza kufanya interview.
Niliomba nafasi ya kujiunga na masoma kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katika Chuo Cha Sanaa na Muziki Bagamoyo ambapo jana nimetumiwa sms kuwa nataarifiwa kwenda kwenye interview.
Je,ni yapi ya msingi kuyazingatia ukizingatia na location niliyoitaja.
UGENI NI UTOTO
Niliomba nafasi ya kujiunga na masoma kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katika Chuo Cha Sanaa na Muziki Bagamoyo ambapo jana nimetumiwa sms kuwa nataarifiwa kwenda kwenye interview.
Je,ni yapi ya msingi kuyazingatia ukizingatia na location niliyoitaja.
UGENI NI UTOTO