Wazoefu na interview nisaidieni mwenzenu nimeitwa interview

tuwe wakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
223
Reaction score
59
Ni mara yangu ya kwanza kufanya interview.

Niliomba nafasi ya kujiunga na masoma kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katika Chuo Cha Sanaa na Muziki Bagamoyo ambapo jana nimetumiwa sms kuwa nataarifiwa kwenda kwenye interview.

Je,ni yapi ya msingi kuyazingatia ukizingatia na location niliyoitaja.

UGENI NI UTOTO
 
Hasa kumbe hiyo ni iterview ya kusoma..Ila jarib kusearch humu kuna thread zimejadili hilo swala
 
kwanza elewa kwa undani unachoenda kukisoma, pili utakapo kuwa unaulizwa maswali jaribu kuwa na poz usikurupuke kujibu swali think twice.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…