Wazoefu wa Aliexpress mpitie hapa mtoe msaada wa haraka tafadhali

Wazoefu wa Aliexpress mpitie hapa mtoe msaada wa haraka tafadhali

Baba Rhobi

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2020
Posts
1,611
Reaction score
2,881
Wakuu Habari ya nyie, nahitaji kuagiza simu aliexpress ila sio mzoefu sana, make nilipoagiza mara ya kwanza kwa ajili ya kupata uzoefu ndo nilibaki njia panda, niliagiza kitu cha dollar 1.5 tar 01/06 mpaka leo tar 20/07 inasoma departed country of origin shipping method cannaiao economy global, tar 05/06/ nliagiza saa ya dollar 3.5 shipping method cannaiao global for special goods ilichukua wiki 2 tu kunifikia.

Simu ninayohitaji kuagiza ni xiaomi redmi 8A 4GB RAM, 64GB internal, shipping method itakua aliexpress yenyewe ya bei nafuu, hivo wakuu mlowai agiza mnipe experience make naogopa kupigwa kama nlivopigwa na kikuu.

Kwa kikuu niliagiza simu ikaja na tatizo nkaomba refund wakanambia nirudishe simu, nikapeleka hela mpaka wa leo chenga tangu mwezi wa 5.

Link ya simu yenyewe hii hapa, 104.99US $ 26% OFF|Global ROM Xiaomi Redmi 8A 8 A 64GB ROM 4GB RAM Mobile Phone Snapdragon 439 Octa Core 6.22
 
Sasa hivi e-commerce ndio business model tunayoenda nayo kutokana na maendeleo haya ya science na Technology kwahiyo hakuna wasiwasi wa kuibiwa hasa kama unanunua kwenye hizi giants e-commerce platforms like Amazon, ebay, AliExpress ... and all alikes wanaletaga mzigo na hata kukitokea shida kuna refunds policy kuwa na aman tu.
 
Epuka hiyo Canaio economy au China post mizigo huchelewa sana.
 
Wakuu Habari ya nyie, nahitaji kuagiza simu aliexpress ila sio mzoefu sana, make nilipoagiza mara ya kwanza kwa ajili ya kupata uzoefu ndo nilibaki njia panda, niliagiza kitu cha dollar 1.5 tar 01/06 mpaka leo tar 20/07 inasoma departed country of origin shipping method cannaiao economy global, tar 05/06/ nliagiza saa ya dollar 3.5 shipping method cannaiao global for special goods ilichukua wiki 2 tu kunifikia...
Hawa "cannaiao economy global" Wanachelewesha saanyingine mpaka miezi Miwili.

Na "cannaiao global for special goods" Hawa Wako Faster Kidogo tofauti na hao Economy, Hawa unaweza pata mpaka siku 14
Na "AliExpress Standard Shipping" Pia hawatofautiani sana na "cannaiao global for special goods"

Muhimu kuangalia Kampuni unayoitumia Kusafirisha, Nakushauri unaponunua kitu cha zaidi ya $10 usitumie Free Shipping, labda ikiwa ni ya Aliexpress Wenyewe, Ni bora ukachagua Shipping hata ya kulipia ambapo unaweza kulipia hata 2000 au 3000 au zaidi.
 
Hawa "cannaiao economy global" Wanachelewesha saanyingine mpaka miezi Miwili.

Na "cannaiao global for special goods" Hawa Wako Faster Kidogo tofauti na hao Economy, Hawa unaweza pata mpaka siku 14
Na "AliExpress Standard Shipping" Pia hawatofautiani sana na "cannaiao global for special goods"

Muhimu kuangalia Kampuni unayoitumia Kusafirisha, Nakushauri unaponunua kitu cha zaidi ya $10 usitumie Free Shipping, labda ikiwa ni ya Aliexpress Wenyewe, Ni bora ukachagua Shipping hata ya kulipia ambapo unaweza kulipia hata 2000 au 3000 au zaidi.
Shukrani kwa msaada wako mkuu, ko hawa aliexpress wenyewe kumbe ni bora zaidi, umenifunza kitu.
 
kwanini mkuu usichukue redmi 9? utofauti mdogo wa bei ila redmi 9 ni simu kali sana kila idara.

kuhusu 8A na band inayo B3, B7 naq B40 ila haina B20 hivyo hutapata 4g tigo nje ya mji na smile.
Shukrani kwa ushauri wako mkuu, sema bajeti ndo iko tight sana.
 
Hapo umeandaa kiasi gani cha fedha nikushauli ununue simu aina gani utambue kuwa kuna global na china hapo
 
Hawa "cannaiao economy global" Wanachelewesha saanyingine mpaka miezi Miwili.

Na "cannaiao global for special goods" Hawa Wako Faster Kidogo tofauti na hao Economy, Hawa unaweza pata mpaka siku 14
Na "AliExpress Standard Shipping" Pia hawatofautiani sana na "cannaiao global for special goods"

Muhimu kuangalia Kampuni unayoitumia Kusafirisha, Nakushauri unaponunua kitu cha zaidi ya $10 usitumie Free Shipping, labda ikiwa ni ya Aliexpress Wenyewe, Ni bora ukachagua Shipping hata ya kulipia ambapo unaweza kulipia hata 2000 au 3000 au zaidi.
Mkuu kwani Alixpress primium, FedEx, UPS nani yupo Fasta na uhakika? Maana wote wanasema siku 7-14. Je wote wana ofisi zao? Au nitatwa posta?
 
Mkuu kwani Alixpress primium, FedEx, UPS nani yupo Fasta na uhakika? Maana wote wanasema siku 7-14. Je wote wana ofisi zao? Au nitatwa posta?
Hawa FedEx, UPS Wako Faster na Wana Office hapa kwetu, Hawatumi poster wanakuletea ulipo au unafuata officn.
 
kwanini mkuu usichukue redmi 9? utofauti mdogo wa bei ila redmi 9 ni simu kali sana kila idara.

kuhusu 8A na band inayo B3, B7 naq B40 ila haina B20 hivyo hutapata 4g tigo nje ya mji na smile.
Chief naomba nikuulize ikiwa sitapata 4G je ntaweza kupata 3G na kutumia kupiga na kutuma SMS I mean kwa hiyo mitandao miwili Smile na Tigo....?
 
Chief naomba nikuulize ikiwa sitapata 4G je ntaweza kupata 3G na kutumia kupiga na kutuma SMS I mean kwa hiyo mitandao miwili Smile na Tigo....?
Ndio 3g Unapata, 3G ilikuwa na band 4 tu na moja ndio inatumika almost Dunia nzima 2100. Ila 4G na 5G ndio zina tabu
 
Back
Top Bottom