Wazoefu wa Aliexpress mpitie hapa mtoe msaada wa haraka tafadhali

Boss tusaidie haya makampuni ya hizo bei ili sisi wajasiliamal wadogo tuweze watumia
 
Mimi nimeagiza toka July 1 Hadi Leo hakuna updates yeyote ya maana zaidi ya mzigo parcel left country of origin.

Kuna cargo company zinazingua saana.
 
Mimi nimeagiza toka July 1 Hadi Leo hakuna updates yeyote ya maana zaidi ya mzigo parcel left country of origin.

Kuna cargo company zinazingua saana.
Utafika, kuna kipindi parcel yangu ilikaa miezi mi3 lakini ilifika.
 
Wako Faster zaidi ya "cannaiao economy global" ndo mana unakuta wakati mwingine wana charge ada kidogo.
Kuna kampuni ambazo nasikitika sana siku hizi sizioni na hii ni kutokana na covid-30, yaani mizigo yangu ilikuwa lazima ifike tu.

(1) China Post Registered Air Mail
(2) China Post Ordinary Small Packet plus
(3) 4PX Singapore Post OM Pro

Pamoja na kwamba kuna wakati ilitokea mzigo kuchelewa ila delivery ilikuwa hakika labda tu seller awe mhuni. Yaani hata gharama za shipping zilikuwaga mayai sana.

Shenzi sana Covid-30

Sent from my cupboard using mug
 
kwanini mkuu usichukue redmi 9? utofauti mdogo wa bei ila redmi 9 ni simu kali sana kila idara.

kuhusu 8A na band inayo B3, B7 naq B40 ila haina B20 hivyo hutapata 4g tigo nje ya mji na smile.
Naunga mkono hoja redimi 9 nisimu bomba Kwa wenye vipato vya Kati
 
Kama una haraka na bidhaa husika, EPUKA kununua bidhaa ambayo ni Free Shipping!!!

Now, let's say umeona Saa X inauzwa $10 Free shipping, na umeona similar watch inayouzwa hiyo $10 but $2 Shipping, bora ununue hiyo ambayo utalipia shipping!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…