Wazoefu wa Instagram na Facebook. Ni bidhaa gani zinauzika kwa haraka kwa anaefanya kama winga?

Wazoefu wa Instagram na Facebook. Ni bidhaa gani zinauzika kwa haraka kwa anaefanya kama winga?

stevhinoz

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2021
Posts
228
Reaction score
509
Naomba mawazo yenu mnaotumia Instagram na Facebook kuuza bidhaa. Kwa winga anaechukua vitu kariakoo ni bidhaa gani rahisi kuuzika ukiweka insta na FB alafu ukaipromote?

Tusaidiane uzoefu, keki ni kubwa kila mtu walau apate kipande.
 
Naomba mawazo yenu mnaotumia Instagram na Facebook kuuza bidhaa. Kwa winga anaechukua vitu kariakoo ni bidhaa gani rahisi kuuzika ukiweka insta na FB alafu ukaipromote?

Tusaidiane uzoefu, keki ni kubwa kila mtu walau apate kipande.
 
Facebook jiunge na yale magroup ya biashara ktk mkoa uliopo, then unakua unapost bidhaa zako ktk hayo magroup. Angalau kwa siku hukosi wateja 5 ukitangaza biashara yako.

Instagram ni ngumu otherwise hadi uwatumie watu wenye followers wengi sana wakupostie
 
Facebook jiunge na yale magroup ya biashara ktk mkoa uliopo, then unakua unapost bidhaa zako ktk hayo magroup. Angalau kwa siku hukosi wateja 5 ukitangaza biashara yako.
Instagram ni ngumu otherwise hadi uwatumie watu wenye followers wengi sana wakupostie
Ok nimeichukua hii.

Instagram vp ukiweka sponsored post?
 
Ok nimeichukua hii.

Instagram vp ukiweka sponsored post?
Inategemea na idadi ya followers ulionao... Mfano kama unao 100 basi kuna followers 30-50 wataongezeka kuona hilo tangazo, that means watu 120-150 wataona.

But uchache wa followers usikuogopeshe, wewe post tu, siku zinavyo zidi enda utapata follewers wengi maana watu huwa wana screenshot na kupost ktk magroup ya wasap kama una bidhaa nzuri, utashangaa unapigiwa cm tu...

Jitahid uweke bei na bidhaa inapatikana wapi, na kama kuna huduma ya delivery au laah, namba ya cm muhimu
 
Inategemea na idadi ya followers ulionao... Mfano kama unao 100 basi kuna followers 30-50 wataongezeka kuona hilo tangazo, that means watu 120-150 wataona.

But uchache wa followers usikuogopeshe, wewe post tu, siku zinavyo zidi enda utapata follewers wengi maana watu huwa wana screenshot na kupost ktk magroup ya wasap kama una bidhaa nzuri, utashangaa unapigiwa cm tu...

Jitahid uweke bei na bidhaa inapatikana wapi, na kama kuna huduma ya delivery au laah, namba ya cm muhimu
Asante sana mkuu kwa roho nyeupe, nimechukua haya madini.
 
Inategemea na idadi ya followers ulionao... Mfano kama unao 100 basi kuna followers 30-50 wataongezeka kuona hilo tangazo, that means watu 120-150 wataona.

But uchache wa followers usikuogopeshe, wewe post tu, siku zinavyo zidi enda utapata follewers wengi maana watu huwa wana screenshot na kupost ktk magroup ya wasap kama una bidhaa nzuri, utashangaa unapigiwa cm tu...

Jitahid uweke bei na bidhaa inapatikana wapi, na kama kuna huduma ya delivery au laah, namba ya cm muhimu
Safi sana Mkuu, inapendeza kushauriana namna hii.Big up.
 
Ok nimeichukua hii.

Instagram vp ukiweka sponsored post?
Sponsored post ni nzuri zaidi kwani unaweza kuchagua budget yako,jinsia ya watu unaotaka waone,umri wao nk.

Mimi natumiaga sponsored post haijawahi kuniangusha simu lazima ziite
 
Tumia Sana Facebook kwenye kusponser mtandao una wateja wengi Sana
 
Facebook jiunge na yale magroup ya biashara ktk mkoa uliopo, then unakua unapost bidhaa zako ktk hayo magroup. Angalau kwa siku hukosi wateja 5 ukitangaza biashara yako.

Instagram ni ngumu otherwise hadi uwatumie watu wenye followers wengi sana wakupostie
Nakazia hapa
 
Naomba mawazo yenu mnaotumia Instagram na Facebook kuuza bidhaa. Kwa winga anaechukua vitu kariakoo ni bidhaa gani rahisi kuuzika ukiweka insta na FB alafu ukaipromote?

Tusaidiane uzoefu, keki ni kubwa kila mtu walau apate kipande.
Digital products ndo zinauzika kwenye mitandao ya fb, insta kwa support ya whatsapp, nina page fb nimeuza sana digital products as soccer tipster
 
Digital products ndo zinauzika kwenye mitandao ya fb, insta kwa support ya whatsapp, nina page fb nimeuza sana digital products as soccer tipster
Digital products kama zipi mkuu?
 
Back
Top Bottom