Mkuu Nakumat imefungwa? Pale Moshi?Kama unatokea YMCA kwenye round about unayokutana nayo upande wa kulia ndio posts.
Kama unatokea pasua ukipita njia ya polisi central pita stand baada ya stand nyoosha hiyo njia inapopinda kukutana na double lane kushoto ndio posts.
Kama unatokea majengo ukifita station Kuna njia unaingia kulia inapita zamani Nakumat, CRDB Bank ilifika round about mbele yako utaona post
Ndio ilifungwa kitambo kidogoMkuu Nakumat imefungwa? Pale moshi?