Wazoefu wa online shopping(kikuu)

dranx

Senior Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
190
Reaction score
84
Habari zenu wana jamvi
Kama kichwa cha habari kinavyosema mimi nipo Dar es salaam Kwa wazoefu waliowahi kutumia kikuu kuagiza baadhi ya bidhaa!
Nataka na mimi niagize sasa nikiagiza bidhaa yangu ntaipata wapi Kwa hapa dar es salaam
 
Lazima uwe na App yao, ukisha jisajili utapata maelekezo toka kwao
Hila bidhaa itakufikia ndan y mwezi 1....
 
Je hapa Dar wana ofisi? Niliona unatakiwa ulipie oda kabla hawajaleta. Sasa je ikitokea nimelipia na mzigo haukuletwa wapi naweza peleka malalamiko yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…