Habari zenu wana jamvi
Kama kichwa cha habari kinavyosema mimi nipo Dar es salaam Kwa wazoefu waliowahi kutumia kikuu kuagiza baadhi ya bidhaa!
Nataka na mimi niagize sasa nikiagiza bidhaa yangu ntaipata wapi Kwa hapa dar es salaam
Je hapa Dar wana ofisi? Niliona unatakiwa ulipie oda kabla hawajaleta. Sasa je ikitokea nimelipia na mzigo haukuletwa wapi naweza peleka malalamiko yangu