π π.... mwenye uzi, do you copy!!!? enewei, over...Badili rangi kwenye runinga afu ukipata hela nunua hata flat 21'
huyo fundi hana utofauti na mkaliman wetu wa janafundi alie kua, ananifanyia hiyo kazi, ananambia et Ni TV imepoteza kumbukumbu, et memory imezingua, nimeshangaa sana hadi nimeshindwa kumuhoji,
π π π Fundi maikofundi alie kua, ananifanyia hiyo kazi, ananambia et Ni TV imepoteza kumbukumbu, et memory imezingua, nimeshangaa sana hadi nimeshindwa kumuhoji,
Inshaallah mwenyezi Mungu akutimizie haja ya moyo wako.Sawa mkuu, hiyo mipango IPO, nataka ninunue flat,
Halafu nikiweka deki inaonyesha langi nzuri kabisa
Jaribu kubadilisha hizo wire zinaweza kuwa tatizoSawa mkuu, hiyo mipango IPO, nataka ninunue flat,
Halafu nikiweka deki inaonyesha langi nzuri kabisa
. Mkuu yaan izi waya Za startimes zina kichwa upande mmoja, Ni 3in1 kwelekea kwenye TV ndo zipo tatu njano nyekundu na nyeupe, kule kwenye king'amuzi kuna njia moja kama, kichwa cha earphoneTatizo lipo kwenye wire tafuta zile nyaya zilizoshikana tatu rangi ya kijani,nyeupe,nyekundu.then chomeka kwa kin'gamuz chako hali kadhalika tv,ukifuata rangi na wire wake